Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Duuuuuuh basi sawaPsg wameongeza pesa ya mshahara.jamaa kabadilisha mawazo
Duuuuuuh basi sawaPsg wameongeza pesa ya mshahara.jamaa kabadilisha mawazo
Hapana mkuu siafiki auzwe lakini ujio wa Kanote sio habari njema sana kwake. Kwanza kashasema yupo tayari hata kwa kukipiga kwingine.Una afiki auzwe ikiwa huu ndo mwanzo wake?
Hebu tuwekee na rekodi za Kanote tulinganishe
Wote tuko after moneyWakati GINI tuponae kwenye negotiations nilidhani ameamua tu kubadilisha mazingira (New challenges) that's why anataka kwenda Barcelona, lakini baada ya kudelay movement ya kwenda Barcelona due to Crazy wage aliyotangaziwa na PSG nimegundua jamaa kumbe lengo halikuwa New challenges bali yupo After money.
I wish we had retained kabak and sold matipHow the new France Boy compares with finished season defence boys.
Successful tackles per 90 minutes (success rate)
Ozan Kabak – 2.2 (78.6%)
Joel Matip – 2.1 (80.8%)
Fabinho – 1.8 (72%)
Nathaniel Phillips – 1.1 (55%)
Jordan Henderson – 1 (83.3%)
Ibrahima Konate – 0.9 (47.3%)
Joe Gomez – 0.5 (45%)
Successful aerial duels per 90 minutes (success rate)
Nathaniel Phillips – 5.4 (60%)
Ozan Kabak – 3.8 (61.2%)
Joe Gomez – 3.2 (54.2%)
Fabinho – 2.4 (54.5%)
Joel Matip – 2.1 (58.3%)
Ibrahima Konate – 1.3 (56.5%)
Jordan Henderson – 1.1 (78.5%)
Interceptions per 90 minutes
Jordan Henderson – 2
Ozan Kabak – 1.6
Fabinho – 1.5
Nathaniel Phillips – 1.4
Ibrahima Konate – 1.3
Joel Matip – 0.9
Joe Gomez – 0.6
Fouls per 90 minutes
Jordan Henderson – 0.1
Joe Gomez – 0.9
Fabinho – 0.9
Ozan Kabak – 1.2
Ibrahima Konate – 1.3
Joel Matip – 1.4
Nathaniel Phillips – 1.6
Clearances per 90 minutes
Joe Gomez – 4.3
Nathaniel Phillips – 4.2
Ibrahima Konate – 3.7
Ozan Kabak – 3.6
Joel Matip – 2.9
Fabinho – 2.9
Jordan Henderson – 1.8
Passing accuracy
Fabinho – 90.6%
Joe Gomez – 89.7%
Ozan Kabak – 89.2%
Joel Matip – 87.7%
Jordan Henderson – 87.3%
Nathaniel Phillips – 83.6%
Ibrahima Konate – 83.5%
Passes completed per 90 minutes
Jordan Henderson – 81.4
Fabinho – 78.2
Joe Gomez – 76.1
Joel Matip – 62.2
Nathaniel Phillips – 60.6
Ozan Kabak – 57.6
Ibrahima Konate – 48.2
Goals
Ibrahima Konate – 1
Joel Matip – 1
Nathaniel Phillips – 1
Ozan Kabak – 0
Jordan Henderson – 1
Fabinho – 0
Joe Gomez – 0
YNWA
Mkuu King ni hivi huyu alikotoka set ya kule ipo tofauti kabisa na ya Klopp yaani design kama walivyotua Fabinho na Robertson. Kama unakumbuka hao mwamba wawili iliwachukua muda sana kua integrated kwenye match day squad hivyo same na huyu dogo Davies.Moja panic signing kuwahi kufanywa na Michael Edward na FSG yake basi ni hii ya Ben Devies.
Yani walimsajili huyu jamaa bila ya kufikiri na ndiyomana hajawahi kuonekana uwanjani.
Haya yote ni matokeo ya ujuaji na ukaidi wao.
View attachment 1810490
Huyu Kabak tutakuja kuuziwa £50m maana ana potential ya ku shine EPL.I wish we had retained kabak and sold matip
Matip is like Anthony Davis, very useful but spend most of his time injured
Bila shaka kiongozi wao atakua Ollachuga Oc.Ukiingia kwenye Uzi wa Chelsea utagundua kuwa Wengi wao waliopo kwenye ule Uzi ni U25 na zao la Banayao Mourinho aliyeianzisha Chelsea mwaka 2005.
Yani wamekaa wanajazana ujinga eti wawasajili SANCHO, KANE, HALAAND na LUKAKU.
Hivi wanashindwa kujua kwamba thamani ya hawa Wachezaji wote ni zaidi ya £400M+ na wage bills yao ya mwaka unalipa mishahara ya Chelsea nzima na pia watafungiwa kusajili kwa kukiuka Financial Fair Play Regulations (FFP)?
Wale watoto wakiacha ujinga wataweza kujifunza mengi sana kutoka kwa wakubwa zao.
We nawe ulisoma huku una kilevi kichwani nnUkiingia kwenye Uzi wa Chelsea utagundua kuwa Wengi wao waliopo kwenye ule Uzi ni U25 na zao la Banayao Mourinho aliyeianzisha Chelsea mwaka 2005.
Yani wamekaa wanajazana ujinga eti wawasajili SANCHO, KANE, HALAAND na LUKAKU.
Hivi wanashindwa kujua kwamba thamani ya hawa Wachezaji wote ni zaidi ya £400M+ na wage bills yao ya mwaka unalipa mishahara ya Chelsea nzima na pia watafungiwa kusajili kwa kukiuka Financial Fair Play Regulations (FFP)?
Wale watoto wakiacha ujinga wataweza kujifunza mengi sana kutoka kwa wakubwa zao.

...Nani kasema atawasajili hao wote Kwa mkupuo? Vilaza kama nyie ,sina muda wa kujibu ....Wewe unaweza kubeba kombe Kama hili? Unajua uzito wake kwanza? Tangu umezaliwa timu zako zote mbili hazijabeba hili zaga ..tangu ulivyokuwa Arse8 na Sasa Man Shityee![]()
na bado utahama Sana.View attachment 1809961
Klopp alimkubali Cantwell but i didn't know its end up. Alimtaka ila naona bei na personal terms walishindwana. Tulishindwa bei ya beki wao wa kushoto Jamal Lewis tukaenda kwa Tsimikas.Kipindi Norwich wameshuka daraja nilitegemea Edwards atue mazima pale kuwanasa wafuatao..
Max Aarons RB
Emi Buendia MF
Todd Cantwell MF
Hao nilidhani kipindi kile kwa ofa za chini ya £20m tungewanasa.
Kwa sasa bei zao sokoni hazikamatiki tena.
Emi Buendia ameuzwa Aston Villa kwa £33m.
Max Aarons rumoured price ni £30m
Todd Cantwell ni £25m.
Ni vijana wa kazi kazi.
YNWA