Any much rumoured Incomings Captain ?
Dirisha bado mapema sana ila tetesi ni kwamba top target alikua
Kanote ambae tayari kashatua Anfield.
Rumoured wako wengi mno ambao wanahusishwa na Liverpool kuwahitaji hivyo muda utasema.
Wanaotajwa sana ni
Patson Daka strika kutoka Zambia anakipia RB Salzburg. Huyu amepewa ruhusa timu ya Taifa akashugulikie kwanza mambo ya uhamisho.
Raphina Winger anakipiga Leeds. Huyu inasemekana Liverpool wanaangalia upepo wa bei yake na kama wahaitaji ni wengi.
Yves Bissuoma all round MF anakipiga Brighton. Huyu japo Fabrizio anasema upo uwezekano asitue kwetu kwa vile Edwards anaangalia kwingine.
Florian Christian Neuhaus huyu ni MF anakipiga pale Borussia Monchengladbach Ujeremani.
Mbappe, forward kutoka PSG.
Rodrigo De Paul MF kutoka Udinese.
Edwards kwa sasa yupo busy kuongeza mikataba ya wachezaji wafuatao.
Allison Becker.
Mohamed Salah
Virgil van Dijk
Fabio Henrique Tavares
Robertson.
Akimaliza hilo la mikataba anahamia sasa kufanya mass sales kwa baadhi ya wachezaji. Wafuatao rumoured wapo sokoni.
Origi the Cult Hero.
Shaqir to Lazio.
Grujic to Hertha Berlin.
Wilson
Keita to Atletico Madrid .
Ojo.
Woodburn.
Taikumi to Southampton .
Karius.
Chamberlin.
Muda bado upo ndugu.
YNWA