Huyu ni tamaa tu ,najua hata liverpool alikuwa haridhiki na mshahara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gini choose to join PSG instead of Barca. Ameamua kwenda kucheza na Neymar badala ya Messi. Ameahidiwa mshahara mara mbili zaidi ya ambao angepata kule barcelona.
Club bingwa tunabeba Ile ..na Supercup tuna nyanyua kwapa ...hii Chelsea kwa Sasa siyo ya kukutana nayo mkuu. Utapigwa uchakae..Itakuwa umeanza kushabikia mpira juzi wewe.
Huyo Kante tukija kwenye namba ndio atazidiwa na messi.naona hapo unasema hana kadi nyekundu [emoji3].
Walikuwa wakina ribery,walikuwa wakina sneider walichukua makombe yote lakini hawana ballon d’or .
Sasa huyo kante hata tu kwenye kikosi bora cha msimu hayupo atashindaje ballon d’or ?
Tuna waacha muendelee kupiga kelele lakini huyo bado sana kuchukua ballon d’or.
Kikosi cha chelsea hakina maajabu,kule klabu bingwa dunia safari hii mtaenda tena kutia Aibu.
Wewe Chelsea kwa Sasa ni club ambayo mchezaji yeyote atataka kuja. Si mlibeza usajili wetu wa mwanzo? Sasa hivi mtajifukia kabisa.Ukiingia kwenye Uzi wa Chelsea utagundua kuwa Wengi wao waliopo kwenye ule Uzi ni U25 na zao la Banayao Mourinho aliyeianzisha Chelsea mwaka 2005.
Yani wamekaa wanajazana ujinga eti wawasajili SANCHO, KANE, HALAAND na LUKAKU.
Hivi wanashindwa kujua kwamba thamani ya hawa Wachezaji wote ni zaidi ya £400M+ na wage bills yao ya mwaka unalipa mishahara ya Chelsea nzima na pia watafungiwa kusajili kwa kukiuka Financial Fair Play Regulations (FFP)?
Wale watoto wakiacha ujinga wataweza kujifunza mengi sana kutoka kwa wakubwa zao.
Umekurupuka.wapi imesemwa kuwa tunawasajili wote hao?Ukiingia kwenye Uzi wa Chelsea utagundua kuwa Wengi wao waliopo kwenye ule Uzi ni U25 na zao la Banayao Mourinho aliyeianzisha Chelsea mwaka 2005.
Yani wamekaa wanajazana ujinga eti wawasajili SANCHO, KANE, HALAAND na LUKAKU.
Hivi wanashindwa kujua kwamba thamani ya hawa Wachezaji wote ni zaidi ya £400M+ na wage bills yao ya mwaka unalipa mishahara ya Chelsea nzima na pia watafungiwa kusajili kwa kukiuka Financial Fair Play Regulations (FFP)?
Wale watoto wakiacha ujinga wataweza kujifunza mengi sana kutoka kwa wakubwa zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watoto walee ...Ukiingia kwenye Uzi wa Chelsea utagundua kuwa Wengi wao waliopo kwenye ule Uzi ni U25 na zao la Banayao Mourinho aliyeianzisha Chelsea mwaka 2005.
Yani wamekaa wanajazana ujinga eti wawasajili SANCHO, KANE, HALAAND na LUKAKU.
Hivi wanashindwa kujua kwamba thamani ya hawa Wachezaji wote ni zaidi ya £400M+ na wage bills yao ya mwaka unalipa mishahara ya Chelsea nzima na pia watafungiwa kusajili kwa kukiuka Financial Fair Play Regulations (FFP)?
Wale watoto wakiacha ujinga wataweza kujifunza mengi sana kutoka kwa wakubwa zao.
Mimi nawashangaa mnavo ulizia usajili kwa Klopp na mnajua asipo mpanga Mane au Milner wakinuna tu anawaomba msamaha atasajili awapange wapi?Klopp alimkubali Cantwell but i didn't know its end up. Alimtaka ila naona bei na personal terms walishindwana. Tulishindwa bei ya beki wao wa kushoto Jamal Lewis tukaenda kwa Tsimikas.
Aisee ngoja tuwaone sasa EPL.Klopp alimkubali Cantwell but i didn't know its end up. Alimtaka ila naona bei na personal terms walishindwana. Tulishindwa bei ya beki wao wa kushoto Jamal Lewis tukaenda kwa Tsimikas.
Umekurupuka.wapi imesemwa kuwa tunawasajili wote hao?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiingia kwenye Uzi wa Chelsea utagundua kuwa Wengi wao waliopo kwenye ule Uzi ni U25 na zao la Banayao Mourinho aliyeianzisha Chelsea mwaka 2005.
Yani wamekaa wanajazana ujinga eti wawasajili SANCHO, KANE, HALAAND na LUKAKU.
Hivi wanashindwa kujua kwamba thamani ya hawa Wachezaji wote ni zaidi ya £400M+ na wage bills yao ya mwaka unalipa mishahara ya Chelsea nzima na pia watafungiwa kusajili kwa kukiuka Financial Fair Play Regulations (FFP)?
Wale watoto wakiacha ujinga wataweza kujifunza mengi sana kutoka kwa wakubwa zao.
Kabisa aiseeAnfield to be 61,000 seater.
Liverpool FC are expected to be given the green light for plans to expand Anfield to a 61,000 seater stadium over the next 12 months.
The City Council have recommended the plans to increase the Anfield Road end’s capacity, which will go before a committee next week.
By the end of construction, the expanded stand will look similar to what the Main Stand currently looks like and will increase Anfield’s capacity to a whopping 61,000.
The development will move Anfield ahead of Manchester City’s Etihad and Arsenal’s Emirates in terms of capacity, leaving only Spurs’ stadium, West Ham’s London Stadium and Old Trafford as larger than Liverpool’s in the country (club football).
Target date for completion is summer 2023
Plans for the stand will take capacity to 61,000
Cost of around £60 million
Kwenye haya mambo i salute FSG.
YNWA
Hivi haujapata habari Klopp anapewa £50m za usajili. Anatakiwa azichange zifike angalau £150m kwa kuuza wachezaji.Kabisa aisee
Wametutoa kwenye 45,000 seaters kama sikosei
Long term project. Wakiongeza kitu kidogo in the pitch watatufurahisha.