King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,461
- 7,456
Jana Kai kafunga goli zuri sana
Pep Bayern alikuwa na kila silaha lakini kashindwa kutamba Ulaya.
Pep Man City kakabidhiwa funguo ya Benki anunue kila silaha lakini kashindwa kutamba Ulaya.
Kumbe ubora haukuwa wa Pep bali ubora ulikuwa ni wa Barcelona yenyewe.
mtoe Gomez kwenye list hii au vvd naye muweke
Mkuu au wametazama design kama Luke Shaw alivyokua pancha na sasa amekaa sawa.another pancha,,, karibu wodin kanote!
mtu alikua hapati namba RB sisi ndio tunamsajili...... well ngoja tuone
Neves ana miaka 24 ndugu.Neves ni midfielder. Then umri wake ni mkubwa sana. Kuna options nyingi kwenye nafasi hiyo ya kuziba pengo la Gini.
Kitu tunapaswa kujifunza ni kwamba mambo na maisha yanabadilika, ukiwa na wachezaji watano au sita kwenye nafasi za ulinzi middle na strikes wenye uwezo mkubwa ni jambo jema maana wanakuwa wanapeana mzunguko hata injury pia zinaweza kupungua au kuisha kabisa, siyo msimu uliopita tulibaki na watatu tu tegemeo na wote wakamuamua kwa wakati mmoja, shida ikaanzia hapoMkuu au wametazama design kama Luke Shaw alivyokua pancha na sasa amekaa sawa.
Sio bure maana ma dokta hawa hawa ndio walimkataa Fekir na leo wamempa Klopp green light Kanote atue.
Muda utasema.
YNWA
Neves ana miaka 24 ndugu.
Huyu namba jezi 8 inamfaa ni jembe.
YNWA
Nahisi nimechanganya huwa nawamix Neves na MoutinhoNeves ana miaka 24 ndugu.
Huyu namba jezi 8 inamfaa ni jembe.
YNWA
Pale akili zinapokaa pembeni kupisha mihemko kufanya kaziOyaaa Kuna ambaye ayiogopi Chelsea???
Nani anabisha Tena apa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ni mwanzo tu msimu ujao tunabeba na EPL mazima...
Sasa niwape ushauri, sajilini mapema maana Salah na Mane hawatawapa Tena makombe makubwa na Yale ya mbuzi pia
Laa siivyo mtachezea mzakari mpaka siku ya kiama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enewei poleni Sana kwa wale mamluki wa Pep a.k.a Liverpool Pep ..nawapa pole huku nacheka hahahaha
Wewe endelea kukaza fuvu muone Kama msimu ujao mtaambulia ..Kama kikosi chenu kisiporepewa basi sioni Kama mtafua dafu msimu ujao. Maana sisi Chelsea ndo tunaenda kuwa tishio zaidi kaa ukijua Hilo.Pale akili zinapokaa pembeni kupisha mihemko kufanya kazi
Ishu ndugu ni namna ya FSG wanavyoedesha usajili klabuni. Wao wanataka timu ijiedeshe yenyewe sokoni bila wao kutoa ela wala kudhamini mkopo benki. Huu ufinyo wa kikosi naona bado utaedelea kuwepo kwani mipango yao ni ile ile sell before buying.Kitu tunapaswa kujifunza ni kwamba mambo na maisha yanabadilika, ukiwa na wachezaji watano au sita kwenye nafasi za ulinzi middle na strikes wenye uwezo mkubwa ni jambo jema maana wanakuwa wanapeana mzunguko hata injury pia zinaweza kupungua au kuisha kabisa, siyo msimu uliopita tulibaki na watatu tu tegemeo na wote wakamuamua kwa wakati mmoja, shida ikaanzia hapo
Neves bado sana aisee ana cha kuleta pale Anfield.Nahisi nimechanganya huwa nawamix Neves na Moutinho
Wolverhampton wanajua hilo hivyo haji kirahisi kwetu.Huyo jamaa basi tu Neves mtu sana huyo.