Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Hapa tutafute na namba 9 mmoja wa nguvu matata sana ili tujiimarishe kisawasawa, tumu inarudi hii kwenye kuendeleza vipigo
another pancha,,, karibu wodin kanote!
At 22 years old nadhani ni back up option na still ana potential.another pancha,,, karibu wodin kanote!
mtu alikua hapati namba RB sisi ndio tunamsajili...... well ngoja tuone
Neves ni midfielder. Then umri wake ni mkubwa sana. Kuna options nyingi kwenye nafasi hiyo ya kuziba pengo la Gini.Bora tungemchuku Reuben neves
Ox
Keita
Matip
Gomez
Origi (huyu msimu huu hali yake ilikua ngumua)
Hawa ni pancha wanakuacha popote pale.
Tuendelee kumuombea uenda akaimarika na kuwa afya njema tuSina mashaka na uwezo wa Konate bali nina mashaka na fitness ya Konate.
Huenda tukaongeza Kitanda cha Konate kwenye Wodi ya Liverpool
kwa hela hiyo wangempata aliyebora zaidi, na asiye pancha....... anyway hayo ya matajiriAt 22 years old nadhani ni back up option na still ana potential.
I trust in Klopp.
mkuu gomez ni pancha pancha sana huwezi mfananisha na vvd ambae ndio ameumia msimu huu, japo pia gomez huwezi mfananisha na keitamtoe Gomez kwenye list hii au vvd naye muweke
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We Liverpool fans as friends of Chelsea and Villareal we celebrate the fall of Manchester...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji110][emoji110][emoji110][emoji110]
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa.....fainali iludiweee iludiweee we[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Kila nikimfikiria olachuga bora wachukue city ,lakini pia kila nikimfikiria pain killer bora wote wasichukue kitu ambacho hakiwezekani... Yoyote atakayechukua HATUTAKUNYWA MAJI HUMU
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Hongereni sana wakuu, sisi Liverpool Halisi tulikuwa nanyi bega kwa bega kwa kufunga na kusali ili mchukue Kombe, maana maombi yetu kwa team yetu yaligonga mwamba.Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa.....fainali iludiweee iludiweee we[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]