Ya MazoeziMmmmmmh hii ndo ya away au mbona sielewi kabisa?
AiseeJapo na kusuasua kote kule, tumeingia top three!
Very impressive.
Wewe ambaye hujazindukia mwishoni na mwenye team upo wa ngapi kwenye league?Mnakuja zinduka mwishoni nyie matakataka hamna timu.
Wanaume tunaenda nyanyua UEFA tulieni hivyo hivyo
Uzi [emoji39]View attachment 1795395
Umeaona eeeeeh hata bado naumia sana manure kumaliza juu yetuInhelikuwa ni Jambo la Aibu Timu ya kuungaunga kama Chelsea kumaliza Ligi juu ya Liverpool.
Come on you REDSKudos to the boys job well done despite all the injuries we have incurred in this ended season we have finished a cool 3rd position... I will take that with BIG SMILE.....
Now we go to June major Rebuilding with a bonus of playing in Champions League nexr season...
A very big thanks to Allison he has time and time again saved us big points..
Most improved team since March has to be us.. Momentum is back and the feel good feelings around the club is back..
With Champions League we will attract top talents like Yves, Kanoute, Aour, Patson Daka nk...
Whats a season we have been through shits, survived to be in Top 4 by a whisker..
Klopp and the boys off to holiday with lots to re evaluate where we are as a team and where we are heading from here...
Edwards kazi kwake sasa kukamilisha usajili mapema kusudi vijana wapate pre season ya kutosha.
FSG lazima waweke ela yaani EPL hakuna kubahatisha bila kuwekeza tutaambulia hivi hivi nafasi za ushiriki na sio kushinda.
Good kuwaona Gomez na VVD wakiwa on top to recovery na pazuri hawashiriki Euro 2020 ili wazidi kujiweka fit kwa EPL 2021- 2022...
Kwa mashabiki wenzangu wa hapa JF watu wangu wa nguvu sanaa tupo pamoja cheers kwa kusimama na timu umekua msimu wa maumivu na furaha and as they say mwenye kucheko cha mwisho ndio mshindi...tumetimiza ndoto yetu ya kucheza UCL next season.
Epl 2021 - 2022 A luta continua...
YNWA
Awesome!Diogo Jota on top 4:
“Although it feels nice after what has happened this season, being 3rd place is nothing to celebrate in my opinion. We are Liverpool - we go for titles!”
Confirmed. Jurgen freaking Klopp is a miracle worker.Kudos to the boys job well done despite all the injuries we have incurred in this ended season we have finished a cool 3rd position... I will take that with BIG SMILE.....
Now we go to June major Rebuilding with a bonus of playing in Champions League nexr season...
A very big thanks to Allison he has time and time again saved us big points..
Most improved team since March has to be us.. Momentum is back and the feel good feelings around the club is back..
With Champions League we will attract top talents like Yves, Kanoute, Aour, Patson Daka nk...
Whats a season we have been through shits, survived to be in Top 4 by a whisker..
Klopp and the boys off to holiday with lots to re evaluate where we are as a team and where we are heading from here...
Edwards kazi kwake sasa kukamilisha usajili mapema kusudi vijana wapate pre season ya kutosha.
FSG lazima waweke ela yaani EPL hakuna kubahatisha bila kuwekeza tutaambulia hivi hivi nafasi za ushiriki na sio kushinda.
Good kuwaona Gomez na VVD wakiwa on top to recovery na pazuri hawashiriki Euro 2020 ili wazidi kujiweka fit kwa EPL 2021- 2022...
Kwa mashabiki wenzangu wa hapa JF watu wangu wa nguvu sanaa tupo pamoja cheers kwa kusimama na timu umekua msimu wa maumivu na furaha and as they say mwenye kucheko cha mwisho ndio mshindi...tumetimiza ndoto yetu ya kucheza UCL next season.
Epl 2021 - 2022 A luta continua...
YNWA
In your DreamsConfirmed. Jurgen freaking Klopp is a miracle worker.
In arguably our worst season of recent years, we have not only finished 3rd but 5 only points behind the "best" Man United team since Fergie's exit.
Tell you what? Enter season 2021/22 with VVD back in the fold, the trophy swoop (EPL, UCL, USC & FCWC) at Anfield will become the order of the day again!
Timu ya kuungaunga iliyowatoa wababe wenu Real Madrid!Inhelikuwa ni Jambo la Aibu Timu ya kuungaunga kama Chelsea kumaliza Ligi juu ya Liverpool.
Hahahahahahaaaaa... it hurts, huh?In your Dreams