Kipofu umeona mwezi imekuwa shida,we jogoo juzi tu ulikuwa unaumwa kideli hata uhakika wa kuingia top4 ulikuwa huna kabisa kweli leo nimeamini KUKU ni KUKU Jogoo ni jina tu, shame to you!Umeaona eeeeeh hata bado naumia sana manure kumaliza juu yetu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app