Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

View attachment 1793138

Kaumia tena huko[emoji3]
Huyu kama kweli wanamtaka Atletico Madrid wamchukue hata bure kwa kweli.

Keita is cursed sio bure yaaani hata mazoezini anaumia aafu utasikia wiki 4 nne.

Poor lad. He had the dream chance to play for us but things have turned south every now and then.

YNWA
 
Huyu kama kweli wanamtaka Atletico Madrid wamchukue hata bure kwa kweli.

Keita is cursed sio bure yaaani hata mazoezini anaumia aafu utasikia wiki 4 nne.

Poor lad. He had the dream chance to play for us but things have turned south every now and then.

YNWA
Kuna siku alikuwa kwa first 11, akaumia wakati wa warm up, watu tunashangaa timu inaingia uwanjani Keita hayupo tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku alikuwa kwa first 11, akaumia wakati wa warm up, watu tunashangaa timu inaingia uwanjani Keita hayupo tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunacheka kama mazuri 😂😂😂.....

Sijui anakula sana biscuits maana mifupa yake ipo hovyo sana...

Huyu alitakiwa awe mwamba..

Yaaani au wambadilishie jezi pengine hii namba 8 kwake ni nzito sana maana ina so many expectations...

Wish him all the best hata kama atarudi RB ni sawa tu kule kuna wachezaji wanatufaa tubadilishane..

YNWA
 
Leo ni
Salah Vs Harry Kane..

Liverpool Vs Leicester...

The worst scenario ni Leicester kuifunga spurs goli goli nyingi

Mfano 5 -2..

Na Harry Kane afunge hizo mbili

Ina maana Kane atakuwa mfungaji Bora..

Na Leicester wanaweza maliza top 4 kama tutaoa draw au kufungwa..

The best scenario ni Tottenham washinde huku Harry Kane asifunge goli
Na Sisi Salah ashinde goli moja na tushinde mechi...hapo tunamaliza top 4 na Salah top scorer
 
Adjustments.jpg
 
Leo ni
Salah Vs Harry Kane..

Liverpool Vs Leicester...

The worst scenario ni Leicester kuifunga spurs goli goli nyingi

Mfano 5 -2..

Na Harry Kane afunge hizo mbili

Ina maana Kane atakuwa mfungaji Bora..

Na Leicester wanaweza maliza top 4 kama tutaoa draw au kufungwa..

The best scenario ni Tottenham washinde huku Harry Kane asifunge goli
Na Sisi Salah ashinde goli moja na tushinde mechi...hapo tunamaliza top 4 na Salah top scorer

Ingelikuwa ni mimi ndiyo Salah kwa VAR hii jana kutwa nzima ningefanya mazoezi ya Kudive manake uhakika nikapata Tuta nitapiga mimi.
Kwahiyo ningepapatua nikatumbukiza 1 then nikapiga na Tuta 1 hapo ningetoka na goli zangu 2 safi za kuchukua kiatu.
 
Naona bado tumelala Wachezaji wanapaswa kujua kuwa bado hatujafuzu kucheza UCL next season
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom