dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,956
- 8,350
kama kanote na kabak watasajiliwa basi matip na gomez waondoshwe, tubaki na Nat, Rhys, sep kama understand then hao wawili plus vvd utakua ukuta wetu..... but i guess hatuwezi sajili kabak na kanote wote wawiliPamoja ndugu.
Kanote kutoka RB Ujeremani ndio mazungumzo yanaedelea. Jamaa wanataka cash Liverpool wanataka walipe kwa awamu. Ishu iko hapo kwa sasa naamini kwa vile dogo kashakumbali kuja kwetu watapata break through.
Yves kutoka Brighton baada ya Gini kutimka ni rasmi sasa Liverpool watatua kwake mazima. Pazuri ni kwamba Arsenal ni kama wamejiodoa kuwania saini yake.
Kabak naona 50 50 kubakia Liverpool japo Klopp alisema ataongea nae ligi ikiisha. Dogo Kabak kasema ameridhia kubakia Liverpool hivyo sasa ni Liverpool kutoa mpunga around £18m ili kumnasa mazima.
Adrian wanampango wa kumpa tena mkataba wa mwaka mmoja [emoji1552][emoji1552][emoji1552]..
YNWA
milner wampe asante ya utumishi na mkono wa kwaheri, gini ndio huyo, keita na ox biashara ifanywe tu wasepe!
jones regular, elliot arudishwe, and i wish brewster afanikiwe anfield......
big shaq, origi, and one or two of the front 3 wauzwe, tununue wawili wapya!........
Mbappe[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]