Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

2nd Leg Klopp should play a double pivot midfield ya Fabinho X Thiago

Use firmino as 10 to press real madrid's midfield
 
I am willing sell Sadio Mane by any means
His rythm is out now(And maybe forever).

Sikumbuki ni lini mara ya mwisho Sadio Mane has take on a defender.
 
Huo ushindi ulikusaidia nini zaidi ya kuabishwa na Olympic Lyon
Mwisho wenu ni jumatano...

Then ,uwe unatuchungulia sisi wanaume kwenye tv mpaka kuchukua uefa ..

Hao psg watapinduliwa meza tu ..

Sisi tunamtaka huyo buyern ..
 
Fainali gani labda? Hebu tutolee bangi zako aliyekwambia upende Timu bovu nani?
Hahahaha mbona unatufokea sasa ..ebboo ..mim nimekuuliza wewe unaona fainal Chelsea atakutana na nani? Mim nakupa options vs Bayern au vs PSG? Em angalia wa kumkutanisha na Chelsea ni nani kati ya hao wawili.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wanajitekenya na cheka wenyewe. Ngoja siku hiyo wafungwe utaona watakavyomvaa Keita unazani keita anacheza yeye mwenyewe uwanjani
mkuu sisi mwaka huu tumekubali mapema kabisa hatuna chetu,,,,,
 
I am willing sell Sadio Mane by any means
His rythm is out now(And maybe forever).

Sikumbuki ni lini mara ya mwisho Sadio Mane has take on a defender.
Saido if am not mistaken he is the most fouled Player in our squad.

For the last 3 seasons he has been playing with very high intensity and he is no Messi. Thus wear and tear is taking its toll.


YNWA
 
Come On You Reds. You'll Never Walk Alone.
IMG-20210410-WA0002.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom