Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pamoja na udobwedo wa salah ila mane kwa sasa too much..
Anacheza kifaza mno.

Ujue Mane hawezi kudribble hata kujipita yeye mwenyewe. Aisee mane has to wake up otherwiae atakua na mwisho ambao hatukuutarajia
Is there any single player who is out shining the others this season in our squad?

The players has been very down performance wise. Leo utasema Mane kesho Allison ama TAA etc hivyo msimu huu tutulie uishe na tujipange sokoni kwa ajili ya msimu mpya.

Mane tangu apone Corona hajawa yule Mane tunaemjua kama Mane. He is not clicking the right gears.

Mane is 29yrs now he ain't getting young aisee...


YNWA
 
Game ya Madrid nao Jk aliwahi kujitetea kwa Keita. Kama alicheza vyema how can you sub good performer after 45 min.?

Jk alitudanganya kuanza na Keita ambaye sikumbuki mechi ya mwisho kucheza dakika tano ni lini.

Kuelekea 2nd leg inahitajika full mental and body fitness.

GINI-FABINHO-THIAGO
SALAH-FIRMINO-JOTA.

Kumheshimu mpinzani ni jambo zuri.

Sub ya Firmino/Jota aingie Shaqiri badala ya Mane. Mane mpira umemkataa hata kudribble mguu mzito.


TOP FOUR FIGHTER kwa uzembe na ubishi wa klopp kitaaambo angecheza fab na phillips Cb's hendo acheze mid. Baada ya usajili akaendelea kucheza cb ya hendo na fab (hapa ndio alijipoteza).


YNWA untill the last drop.
 
Is there any single player who is out shining the others this season in our squad?

The players has been very down performance wise. Leo utasema Mane kesho Allison ama TAA etc hivyo msimu huu tutulie uishe na tujipange sokoni kwa ajili ya msimu mpya.

Mane tangu apone Corona hajawa yule Mane tunaemjua kama Mane. He is not clicking the right gears.

Mane is 29yrs now he ain't getting young aisee...


YNWA
Najua jinsi unamtetea lakini angalia other players atleast they are clicking compare to him.
All in all tupate top four.
 
Pamoja na udobwedo wa salah ila mane kwa sasa too much..
Anacheza kifaza mno.

Ujue Mane hawezi kudribble hata kujipita yeye mwenyewe. Aisee mane has to wake up otherwiae atakua na mwisho ambao hatukuutarajia

Nilitaka kuchangia mengi kwenye hii post yako lakini nilipoisoma na kufika hapo "Hawezi Kudribble Hata Kujipita Yeye Mwenyewe" ilinibidi niishie hapo na kucheka tu. 😂😂😂
 
Adjustments.jpg
 
Najua jinsi unamtetea lakini angalia other players atleast they are clicking compare to him.
All in all tupate top four.
Mkuu Captain Justine niambie mpaka sasa unadhani mchezaji yupi ana deserve kua mchezaji bora wa msimu huu Liverpool.

Binafsi mchezaji pekee kwa mbali naona angalau anafaa uchezaji bora msimu huu klabuni ni Fabinho tu.

Hawa wengine ndugu wajitazame upya msimu ujao kwani msimu huu wamekua sio kabisa regardless ya kua na beki majeruhi they are poor especially when playing the mediocre teams za below 10.

Flop of the season kwangu has to be Keita, Ox hawa they are playing without purpose kabisa. Its like they have given up kubakia Anfield.

YNWA
 
Chelsea
vs brighton H
vs westham A
vs fulham H
vs man city A
vs Arsenal H
vs Leicester H
vs Astonvila A


Liverpool
vs Leeds A
vs Newcastle H
vs Man utd A
vs Soton H
vs Westbrom A
vs burnley A
vs Palace H

Westham
vs Newcastle A
vs Chelsea H
vs Burnley A
vs Everton H
vs Brighton A
vs Westbrom A
vs soton H

Leicester
vs westbrom H
vs Crystalpalace H
vs Soton A
vs Newcastle H
vs Man utd A
vs Chelsea A
vs Spurs H


Kops, mnaonaje chances zetu kuwepo CL next season? tutaweza kurecover gap ya 3 pts na Westham?

NB/ kwa hizi run-in nimesham-exclude Leicester,
 
Mkuu Captain Justine niambie mpaka sasa unadhani mchezaji yupi ana deserve kua mchezaji bora wa msimu huu Liverpool.

Binafsi mchezaji pekee kwa mbali naona angalau anafaa uchezaji bora msimu huu klabuni ni Fabinho tu.

Hawa wengine ndugu wajitazame upya msimu ujao kwani msimu huu wamekua sio kabisa regardless ya kua na beki majeruhi they are poor especially when playing the mediocre teams za below 10.

Flop of the season kwangu has to be Keita, Ox hawa they are playing without purpose kabisa. Its like they have given up kubakia Anfield.

YNWA
Hata mimi nampa Fabinho.

TAA top five hakosi aisee jamaa ameweka juhudi mno ni vile timu ikiwa pagumu juhudi wakati mwingine hazionekani.

NAT PHILLIPS MY MAN jamaa akipartner na vvd huenda tukawa na ukuta flan mzuri.

Hapo kwa flop yes keita ox origi dah hamna aisee hata dakika chache walizopata walishindwa kuonesha what they will offer if the squad is in a good shape.

Shaq Curtis hawajapata game time ya kutosha.

My prediction.
Ox
Keita
Origi
Matip
Davies
Tsimikas
Adrian
Kama sio kuuzwa basi mkopo.

Naona mipango itafanyika kimya kimya ili kuseal deal mapema kukwepa kugombania saini (ishu za bei).


Mwisho hii top four kajitakia Klopp kipindi anang'ang'ana cb's ya hendo na faby wakat phillips yupo. Zile defeats zilitokana na weakness kwenye mid yetu. Amini hendo(kwa system ya klopp anaitendea kazi) au faby at the mid tungeweza kupata hata sare tumefungwa mechi karibu 5 kwa 1 goal kitu ambacho tungekua na mid ya kupush na kuforce tungeweza.

UNTILL THE LAST DROP.
YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom