Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

City hawaendi kushinda Ujerumani

Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
Wewe utashinda hapo anfield ?

Au madrid wanakuja kukusukumia ukuni mwingine kwa nyuma ...


Sisi man city saizi yetu ni buyern tu ,hao dortmund tunaenda kuwapelekea moto huko huko germany ...


Najua ndio mwisho wenu kuku nyie

Fa out

Carabao out

Epl out

Uefa out

Out of top four ..

Lazima uchanganyikiwe kuku wewe ...
 
Ukiona Mtu kama mimi KING_NGWABA nimeacha kumlaumu Kocha na Mchezaji mmoja mmoja kama ilivyokuwa zamani ambayo ndiyo sifa yangu kuu hapa basi ujue kuna Kitu cha kujiuliza.

Simple and Clear! Timu lote ni bovu hakuna aliye na Afadhali, hivyo ukimlaumu Mchezaji mmoja eg. Keita, Salah, Firmino, Mane, Gini, TAA, Alison, Hendo, Thiago etc. Ni kumuonea tu.
Hahaha kabisa ila Mkuu kwangu Keita hua nikimuona tu naona tumepigwaaaa..

Ki ukweli tupo vimbaya na jana Klopp alitakiwa ajue ni make or break.

Matokeo ya Arsenal naona yalitusahaulisha hali yetu halisi msimu huu.

YNWA
 
Kinachotesa Watu wengi mpaka wengine wana miezi kadhaa wameukimbia huu uzi au wengine wanakuja kwa kuvizia ni kuto kuukubali ukweli na kuishi kwa kukariri.

  • Kuna Watu bado wanaamini Tuna bonge la Timu.
  • Kuna Watu bado wanaamini Viwango vya Wachezaji wetu vipo juu kwa mfano wanaweza kukwambia Mane ni Mshambuliaji bora kuliko Mshambuliaji yoyote Duniani wakati ukweli ni kwamba kwa muda huu huyu ni Molinga anaelipwa Vizuri tu.
Sijui kwa miezi mitatu iliyopita kama kafunga hata magoli mawili tu. Mtu atakuja kukwambia anahangaika! Alaa! Ukihangaika bila ya On Target hata moja ndiyo mwisho wa mchezo Refa atakugaia goli na points 3?
Si bora Jota na Salah wasiohangaika lakini wanafunga!!

Hii Timu inahitaji mabadiliko makubwa sana kutokana na uzembe uliofanywa misimu miwili iliyopita, tulizungumzia usajili yukaletewa Ki-Jana tukaambiwa Edwards ni Genius anatengeneza future. Tukaambiwa Don't Disturb our Front 3, Don't Disturb our Midfielders.... Na ujinga mwingi hatimae sasa hata Simba kina Chama wanatamani wacheze na Liverpool na wana uhakika watapata matokeo.
2020 2021 Liverpool season in summary.

You have nailed it's man.

Poor planning with the squad depth has made us this toothless man.

We got no one to blame.

We lack creativity.

YNWA
 
Enewey! Hii Timu itarudi kuwa sawa na Real wawe makini na 2nd Leg tuna goli la ugenini kule.
Same tu Man City kuna uwezekano wa kulijutia goli walilofungwa na Dortmund jana.
mna goli la ugenini sawa, swali Ni je mtaweza kutoa clean sheet hiyo 2nd leg?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Wewe utashinda hapo anfield ?

Au madrid wanakuja kukusukumia ukuni mwingine kwa nyuma ...


Sisi man city saizi yetu ni buyern tu ,hao dortmund tunaenda kuwapelekea moto huko huko germany ...


Najua ndio mwisho wenu kuku nyie

Fa out

Carabao out

Epl out

Uefa out

Out of top four ..

Lazima uchanganyikiwe kuku wewe ...
hizi zarau sasa. Kwamba kuku atasukumiziwa ukuni tena
 
Enewey! Hii Timu itarudi kuwa sawa na Real wawe makini na 2nd Leg tuna goli la ugenini kule.
Same tu Man City kuna uwezekano wa kulijutia goli walilofungwa na Dortmund jana.
Faida ya goli la ugenini ni ndogo sana, Itabidi Liverpool ishinde 2-0 au difference ya goli tatu ikiwa Real Madrid atafunga goli yaani mshinde 4-1, 5-2 na kuendelea. Kwa timu hii ya akina Kabak na Philips nyuma sioni wa kumzuia Bensema, Junior wasifunge magoli kwenye second leg
 
Faida ya goli la ugenini ni ndogo sana, Itabidi Liverpool ishinde 2-0 au difference ya goli tatu ikiwa Real Madrid atafunga goli yaani mshinde 4-1, 5-2 na kuendelea. Kwa timu hii ya akina Kabak na Philips nyuma sioni wa kumzuia Bensema, Junior wasifunge magoli kwenye second leg

Hawa wanajitekenya na cheka wenyewe. Ngoja siku hiyo wafungwe utaona watakavyomvaa Keita🤪🤪🤪 unazani keita anacheza yeye mwenyewe uwanjani
 
TAA ya solar
twelfthmantweets-___CNZ65tuAkW0___-1.jpg
twelfthmantweets-___CNZ65tuAkW0___-2.jpg
twelfthmantweets-___CNZ65tuAkW0___-6.jpg
 
Faida ya goli la ugenini ni ndogo sana, Itabidi Liverpool ishinde 2-0 au difference ya goli tatu ikiwa Real Madrid atafunga goli yaani mshinde 4-1, 5-2 na kuendelea. Kwa timu hii ya akina Kabak na Philips nyuma sioni wa kumzuia Bensema, Junior wasifunge magoli kwenye second leg

Hapa hujazungumzia mpira bali umezungumzia hisia tu! Kwenye mpira hakuna kitu kama hicho.
 
Hawa PSG huanzaga vizuri lakini sijui hukumbwa na nini wakaishia kuangukia pua! Anyway huenda Poch mwaka huu nayeye akaingia kwenye Vitabu vya kumbukumbu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom