King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Hivi kuna article yeyote kuhusiana na injury za mwaka huu hasa Kwa Liverpool?
Kuna alieandika deep kutafuta sababu ya hizi injury?..labda aina ya mazoezi?
Kuna mwenye link ya article kama zipo?
Nazungumzia za waandishi wa mpira wa kimataifa
Search kwa MosDef alishaelezea tayari.
Ninachoamini ni kuwa MosDef linapokuja suala la Mpira ni bora zaidi kuliko hao wa Kimataifa au Mchambuzi yoyote Tanzania hii.
Kwa siku ninapitia Platforms nyingi zenye Articles za Wachambuzi Nguli wakiwepo retired football Legends lakini wengi wao MosDef amewaacha mbali sana.
