johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,066
- 2,252
Cc tuko nusu fainali tunawasubiri endapo mtafanikiwa kuvuka hiko kiunzi cha porto na timu yenu ambayo ukimwondoa ngolo kante umeizika jumlajumla

nusu fainal ip tena jaman
kwan ushasahau kwamba nyie mshakua shamba la bibi kila mtu anajilia
