Once a red,....always a red....

Tumekuwa na furaha misimu minne hivi kwa hivo naamini haya tunayopitia ni mapito tu...tutarudi tena tunapostahili kuwa...

Tusikate tamaa kops...

Unity is strength...forever reds
Baada ya miaka 30
 
Still can't score , Still can't Defend......Watakuja watu watakwambia hili ni tatizo la FSG.

Na ndiyomana huwa ninasema mara nyingi kuwa hili Timu lina tatizo la Kimfumo na si kosa la kusema Mchezaji Fulani ndiye anasababisha tufungwe au mchezaji fulani atasababisha tushinde.

Nikaeleza kwa wale waliokuwa wakimlilia Jota kuwa tatizo letu ni kubwa zaidi ya Jota na VVD, na hivyo hata wakirudi hawatasaidia chochote! Ni bora tu Jota asiharakishwe kurudi aendelee kupumzishwa.

Leo Thiago hajacheza ambaye Watu walishaanza kumfanya mbuzi wa Kafara, sasa sijui baada ya Thiago kama lawama zitarudi kwa Salah?
 
Kwa tathimini yangu wachezaji wafuatao huwa wanatucost.

Salah
Thiago
Trend
Jones.

Salah Ana tatizo hawezi kumiliki mpira vizuri na akipoteza mipira yake huwa inatucost.
Work rate yake kwenye kusaidia timu uwanjani ni ndogo sana, anaweza kubahatisha goli bado nafasi alizotucost ni nyingi_
Thiago anarukaruka tu na kufanya faulo.
Trend ameanzisha tabia ya kutokupiga cross kama zamani, rate ya kupiga cross imedrop, pia sio beki mzuri na upande wake mara nyingi wako na salah magoli mengi hupitia huku kwao.
Jones, sehemu ya kupiga pasi haraka anachelewesha mpaka adonoedonoe mpira kabla ya kutoa pasi, ;mara nyingi pasi zake ni za kurudi nyuma, akipoteza mpira mara nyingi inatucost, si mzuri kwa ukabaji
 
Kwa wanayopitia Liverpool sio ya kubeza tena wakuu ,mwanzo nilijua in utani kumbe wapo serious kabisa ..!
 
Back
Top Bottom