OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Usijifanye unajibu kwa hasira. Nenda kwa kituo.Kama shida ya timu ya Arsenal umeshindwa kuijua Msimu wa 6 huu, ya Liverpool huwezi kuijua.
Baada ya miaka 30Once a red,....always a red....
Tumekuwa na furaha misimu minne hivi kwa hivo naamini haya tunayopitia ni mapito tu...tutarudi tena tunapostahili kuwa...
Tusikate tamaa kops...
Unity is strength...forever reds
Still can't score , Still can't Defend......Watakuja watu watakwambia hili ni tatizo la FSG.
Europa League hoyeee!!!
Still can't score , Still can't Defend......Watakuja watu watakwambia hili ni tatizo la FSG.