one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,325
Jamani watu wa Man huku mnafanya nin huku? si mnauzi wenu wa team yenu hapa tunajadiliana team yetu pendwa Liver mazuri na mabaya ya team zingine hayatuhusu hapa.Kocha mpya wa nini?
Kama alipita Van Gal, Morinho na wote hawakufua dafu, sihitaji tena kusikia swala la kocha mpya kwa sasa.
Sorskjaer ni kijana wetu, na ana radhi zote za Fagurson, ndio maana unaona sasa hivi timu angalau inapumua.
Kwangu Sorskjaer nina mpa misimu mitatu ya kuonyesha kile alicho nacho.
Jamani eeeh, unaweza ukawa na msimu mbaya katika ligi ya "nyumbani" lakini ukafanya vizuri katika ligi ya mabigwa wa Ulaya. Endeleeni kuifuatilia timu yenu!
Chelsea????Refer chelsea nafikiri ni 2005 kwenye ligi ilikuwa nafasi ya 7 lakini ilikuja kuchukua uefa... Sema ukiwa unasuasua ni rahisi kuchukua uefa kuliko kuchukua ligi
Unataka niwaze nini?Unawaza kuwa bingwa UEFA?
Baada ya Jones kutoa assist na tunashinda
Tukija kwenye league kocha atamuweka Milner .. Jones bench ... mwisho tunapigwa hata na Burnley
Nilichanganya mafaili ni 2012 na walimaliza nafasi ya 6 sio ya 7Chelsea????
2005 ndio ilifanyika MIRACLE OF INSTANBUL boss
Ok ok bossNilichanganya mafaili ni 2012 na walimaliza nafasi ya 6 sio ya 7
Yaani Keita Na Ox muda mwingi wapo mezani kwa dokta aafu Gini na Robbo hata muda wa kupumzika hawana aafu analipwa kiduchu kweli..
Mane hajiamini?Pamoja na ushindi lakini timu yetu bado wachezaji hawajiamini kabisa individual brilliance hasa mane na Robertson ndio inaonekana
Labda akirudi keita pale kati na beki mmoja either matip au gomez itatusaidia
Mane, Robertson , Gini na angalau salah ndio wako sawa, wengine wanapitia kipindi kigumuMane hajiamini?
Yaani Keita Na Ox muda mwingi wapo mezani kwa dokta aafu Gini na Robbo hata muda wa kupumzika hawana aafu analipwa kiduchu kweli..
Henderson over paid
Matip over paid
Chamberlain over paid
Milner over paid
Thiago over paid.
Nats over paid
Allison underpaid
TAA underpaid
Robbo underpaid
Mane underpaid
Gini underpaid
Fabby underpaid.
YNWA
Salah Salah Salah nina imani atafunga 35+ goals kwa msimu huu.
Then utasikia auzweeeee
Aekwe benchiiiiiiiiiiii
Atolewe bureeeeeeee
Ukiangalia aekwe Benchi achezeshwe nani? Basi utakuta kumbe atakayecheza ni Origi!!
Origi huyu ambaye toka asajiliwe Liverpool magoli yake yote hajayafikia ya Msimu mmoja tu wa Salah.
Huna akili sasa hawa madogo tuliwapiga goli 5 bila mbna hujapost marudiano 3 kwa 2 ..subir marudiano
Aibu... FSG wakimpata mchezaji kwenye timu iliyoshuka daraja naona mshahara unaanzia chini tazama Gini na dogo Robbo na muda wote wapo fit kupambana uwanjani yaani total imbalance with thier field output.Hapo kwa robbo hadi aibu Aisee.