Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu sisi Liverpool hatuna uwezo wowote wa Kumfunga Man City hivyo nasisi pia tunawategemea Nyinyi Man United mumfunge Man City.
Man City atatufunga tu.
Acheni kutia huruma..mko vizuri,si umeona hadi mmemtoa Takumi kwa mkopo?
 
Unamaanisha Liverpool siyo? Maana kuna timu kibao ambazo zimekuwa kwenye peak kwa muda mrefu na kupelekea kuchukua ubingwa mfululizo. Sasa ninyi ubingwa wa msimu mmoja tu, wachezaji wanakosa sababu ya kuwa kwenye peak?!?
Hii ni sababu ya kipuuzi sana, eti kubeba kombe kamsimu kamoja tu ndo akina Mane na Salah washaridhika sasa ..wanaona washabeba makombe ya kutosha. Madirid watasemaje, Barca je, hawa wakubali hii timu ni kigenge cha wazee sasa ..mf huyu klopp kaua kipaji cha minamino, keita soon na Jota ata floap tu hakuna namna. VVD na yeye ndo umri unaenda na kwa sasa ataendelea kuhudhuria hospital zaid kuliko kweny pichi(cjui munaitaje). Kwa ufupi hii liverpool tangu inaanza ilianza kwa kusuasua ..wabobezi wa mambo tulijua hakutakuwa na cha ziada maana wachezaji ni wale wale na wameshajichokea. Saiv mtu kama Mane unaweza kumpata kwa bei chee sana
 
Hapo hapo ghettoni kwao.

Yani mchizi kajilia tunda kimasihara nyumbani kwa wazazi wa manzi.

Huyu baaria sio mtu mzuri.
Kavizia wazazi wamejipindua kamuinamisha binti kwenye korido [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu baharia ni hatari na nusu..
 
Niwambie tu Washabiki wa Man United kuwa sisi Liverpool hatuna uwezo wowote wa kumfunga Man City hivyo atatufunga tu hata tufanye nini, kwahiyo tafuteni njia nyengine ya kupunguza game la points na Man City na si kupitia mechi yetu.
Kwa hiyo ninyi muko tayari kumuachia city ashinde ili wale nyumbu wasibebe ndoo?? Je huu utakuwa ni uzalendo, au ni chuki binafsi au kuna MASLAHI yeyote looserfools atapata endapo city atabeba..
Kwa hii scenario namkubuka sana Gerrard Steven alivyoteleza ili Demba Ba akatupie na hatimaye tukatangaza ubingwa..
 
Hahaha mimi nitakuwa wa kwanza msimu huu kuhakikisha manure aka manyumbu yananyayua kwapa kwa kubeba epielo[emoji3] hivyo nitakuwa upande wa man city kuhakikisha looserfools anapigwa ..apigwe tu hakuna namna ..nasema apigwe tu..
 
UEFA ipo wazi kabisa itatua London. Kuna kila dalili
 

Kama kutakuwa na machaguo haya Mawili:

1) Tumfunge Man City ili tuingie Top Four na Manure abebe Ubingwa.
2) Tufungwe na Man City tutoke nje ya Top Four ili Manure asibebe Ubingwa.

Hapo ninachagua namba 2 tukacheze Europa potelea bondeni.
 
Hapo zamani nilijiaminisha kuwa tukicheza CL tutapata Faida 3 kuu:

1) Tutavutia World Class players na kuwasajili.

2) Tutapata hela nyingi na kuweza kusajili wachezaji wazuri.

3) Wa tutavutia Wadhamini wakubwa kama Adidas, Nike na Puma ili tuingie nao Mikataba minono na kupata Mihela itakayotusaidia kwenye usajili.



Hatimae nimegundua kuwa nilikuwa najidanganya kwa sababu hizi 3:

1) Licha ya kucheza CL Back-2-Back lakini Timu haijawahi kununua World Class player, WC wetu wote tumewatengeneza wenyewe.

2) Tumepata hela nyingi za Ubingwa wa 2018/19 lakini hatukununua mchezaji yeyote wa maana zaidi ya Minamino na Vitoto.

3) Tumevutia Mdhamini mkubwa NIKE lakini fedha alizotoa hazijasaidia chochote kwenye usajili.

SULUHISHO (LANGU):

- CL haisaidii chochote katika kuboresha kikosi cha Liverpool kutokana na sera ya FSG ya Sell to Buy, hivyo Mahela yote tunayoingiza kupitiaCL hayahusiki kwenye Usajili.

- Kushiriki CL, kubeba CL na kupata Wadhamini (NIKE) ni faida kwa FSG tu na wala si kwa Timu.

MY TAKE: Tubebe CL kwa ajili ya kujenga heshima ya Liverpool tu na wala si kwa kuvutia World Class Players, na wala si kwa ajili ya kuingiza fedha za usajili.


FSG ni janga kama Corona
 
Kama kutakuwa na machaguo haya Mawili:

1) Tumfunge Man City ili tuingie Top Four na Manure abebe Ubingwa.
2) Tufungwe na Man City tutoke nje ya Top Four ili Man U asibebe Ubingwa.

Hapo ninachagua namba 2 tukacheze Europa potelea bondeni.
Asili yenu kama mlivyorithi kwa babu yenu Gerald, ila sawa tu ubingwa utaenda OT this season.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Siyo powa kuzungumzia mifano ambayo siyo relevant.

Arsenal na kucheza UEFA wapi na wapi!
 
Kwa sheria mpya Arsenal mtakua mnashiriki Uefa kuna mpango wanajadiliana wiki hii kuongeza timu kutoka 4 mpaka 6 ziwe zinashiriki Uefa kuanzia 2024 hivyo angalau najua kwa mwendo mnavyokwenda hamtakosa kua ndani ya BIG 6...

Uefa ndio kilele cha mafanikio kwa kocha, mashabiki na wenye klabu kwenye ngazi ya vilabu hilo lipo wazi..

Mchezaji alishakua mshindi wa Uefa hata bei yake inakua juu...

Kocha akishachukua Uefa hata mshahara wake endapo atabaki kileleni cha mwalimu bora unakua juu sio kama yule wa Chelsea kocha Grant sijui alipotelea wapi...

Mashabiki nao hutembea kifua mbele kwa kufika kilele cha mafanikio Europa..

Wenye timu nao wanapata mkwaja wa nguvu kutoka kwa wadhamini lukuki na pesa za Uefa hivyo kujiweka sawa zaidi..

Kushinda Uefa ni habari nyingine...

YNWA
 
Jamaa anarudi lini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…