Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Thiago, ameshaanza kuwa targeted na Medias za UK.

Dude is playing with Milner & Gini kwenye MF, but tunaambiwa ndiyo ana-slow down our attacks.
Pasi hazina macho na vyenga vingi ambavyo ni unnecessary unataka kutuaminisha ni tatizo la milner na wijnaldum.....tuseme tu ukweli bado thiago hajadeliver tulichotarajia kutoka kwake
 
With huge LFC & Man City players out injured, this is my combined XI ahead of our game on sunday


KEEPER : ALISSON

BACKLINE: Cancelo-Stones-Dias-Robbo

MF: Gundogan-Thiago- Bernardo Silva

ATTACK: Foden-Salah-Mane/Sterling
 
The day, Klopp switches completely to 4231, will be the end of Henderson.
Alivyokuja keita mlisema hivihivi kwamba henderson atakaa sana bench mara bora aondoke tu now huyo keita mm na ww tunajua kinachoendelea so ukisema henderson ni mzigo je huyo keita na kina ox ndo watu wa kuwategemea??? Dogo curtis kuna game moja alicheza vibaya mkamshushia mitusi humu had klopp akampiga bench
 
Pasi hazina macho na vyenga vingi ambavyo ni unnecessary unataka kutuaminisha ni tatizo la milner na wijnaldum.....tuseme tu ukweli bado thiago hajadeliver tulichotarajia kutoka kwake
Chenga? since when Thiago anapiga chenga?

whats better? try to play progressive passes? or play sideways & safe passes?

Tume-create nini kwa kupitia safe passes za Gini & Milner? maana wana misplaced passes chache sana compared to Thiago..

how many misplaced passes players like Messi, KDB, Bruno, even Shaqiri & Keita have? because they're always trying to take risks ili ku-create chances, na ndiyo maana open & clear cut chances zinakuwa nyingi.

Safe & sideways passes leads to nothing, especially against Deep Blocks.

Y'all proper reds are so dumb about football, how can you switch on your TV and watch Milner slowing down our attacks & destroy our transition agaist deep blocks every weekend and have the audacity to defend him? why are y'all stone head reds so dumb?
 
Alivyokuja keita mlisema hivihivi kwamba henderson atakaa sana bench mara bora aondoke tu now huyo keita mm na ww tunajua kinachoendelea so ukisema henderson ni mzigo je huyo keita na kina ox ndo watu wa kuwategemea??? Dogo curtis kuna game moja alicheza vibaya mkamshushia mitusi humu had klopp akampiga bench
Show me hiyo post ambayo nilimshushia matusi Curtis you stone head?

and, acha ku-group watu with your dumb takes.


Keita amekuwa injury prone at LFC, did your dumb head ever predicted kuwa Keita atakumbwa na crisis ya majeruhi at LFC? nobody saw it coming, we're not GOD.
 
Show me hiyo post ambayo nilimshushia matusi Curtis you stone head?

and, acha ku-group watu with your dumb takes.


Keita amekuwa injury prone at LFC, did your dumb head ever predicted kuwa Keita atakumbwa na crisis ya majeruhi at LFC? nobody saw it coming, we're not GOD.

Naona leo umeguswa Mkuu.

"All players are equal but Henderson is more equal than others!"

Ukimgusa umetugusa.
 
The day, Klopp switches completely to 4231, will be the end of Henderson.

Our Captain haters!
Huwa mnasema hivyo kila mwaka lkn hamna lolote mnalo lijua ktk soka menejiment zaidi ya porojo!
No Hendo NO Liverpool.
With Hendo on his advanced role(mido)we will beat Man City very easy
 
Alivyokuja keita mlisema hivihivi kwamba henderson atakaa sana bench mara bora aondoke tu now huyo keita mm na ww tunajua kinachoendelea so ukisema henderson ni mzigo je huyo keita na kina ox ndo watu wa kuwategemea??? Dogo curtis kuna game moja alicheza vibaya mkamshushia mitusi humu had klopp akampiga bench

Usiogope matusi yao,wakiwa hawana points huwa wanatukana tu!
Thiago sio tuliyo tegemea toka kwake na bado tunampa mida ya ku deliver lkn hawezi semwa sababu ni mchezaji anayependwa hapa

Hendo ka deliver kila stage ktk Liverpool lkn hapa ana andamwa,changanya hizi team Liverpool vs Man City Hendo hakai nje
 
IMG_3047.jpg

Wenye akili zao hao
 
Show me hiyo post ambayo nilimshushia matusi Curtis you stone head?

and, acha ku-group watu with your dumb takes.


Keita amekuwa injury prone at LFC, did your dumb head ever predicted kuwa Keita atakumbwa na crisis ya majeruhi at LFC? nobody saw it coming, we're not GOD.
If you are not GOD then don't try to put blame on people who put their 100% for the team na kumlaumu klopp et kisa kaongea na mchezaji wake aliyemtoa sub so asitoe maelekezo kwa mchezaji kisa mosdef atachukia huku jf....kikosi kinapangwa mazoezin not jamii forums.
 
If you are not GOD then don't try to put blame on people who put their 100% for the team na kumlaumu klopp et kisa kaongea na mchezaji wake aliyemtoa sub so asitoe maelekezo kwa mchezaji kisa mosdef atachukia huku jf....kikosi kinapangwa mazoezin not jamii forums.
So we ni GOD kwa kuput blame on Thiago's imaginary Chenga and misplaced passes?

so Thiago asitake risk passes because a dumb & a grown toilet minded stone head styled himself as Mr. Bingo on JF atachukia?
 
Chenga? since when Thiago anapiga chenga?

whats better? try to play progressive passes? or play sideways & safe passes?

Tume-create nini kwa kupitia safe passes za Gini & Milner? maana wana misplaced passes chache sana compared to Thiago..

how many misplaced passes players like Messi, KDB, Bruno, even Shaqiri & Keita have? because they're always trying to take risks ili ku-create chances, na ndiyo maana open & clear cut chances zinakuwa nyingi.

Safe & sideways passes leads to nothing, especially against Deep Blocks.

Y'all proper reds are so dumb about football, how can you switch on your TV and watch Milner slowing down our attacks & destroy our transition agaist deep blocks every weekend and have the audacity to defend him? why are y'all stone head reds so dumb?
Hizo progressive passes zilitupa nn kwenye hiyo mech against brighton......no one is standing for milner he is an average player (bcoz of his age) playing infront of the so called world class players (minamino,ox,curtis jones,keita etc) because of their incosistency, and poor deliverence when they are required to do so
 
Yeah,Because we beat Fulham with him playing as an advanced MF you ignorant stone head.

Matusi ndiyo yatakufanya points zako za hovyo ziwe za maana?
Hendo ni mido mzuri kuliko wote tulio nao Liverpool na pengo lake lipo wazi kabisa!

Kucheza vibaya baadhi ya mechi ni kawaida tu mbona kwa mchezaji?

Tumpe muda Thiago nina imani atakuja kuwa sawa kwa sasa bado
 
Hizo progressive passes zilitupa nn kwenye hiyo mech against brighton......no one is standing for milner he is an average player (bcoz of his age) playing infront of the so called world class players (minamino,ox,curtis jones,keita etc) because of their incosistency, and poor deliverence when they are required to do so

Hata mkongwe Milner sio mbaya kihivyo
Sisi Liverpool HALISI tuendelee ku support team yetu LKN nakubaliana na wewe Thiago bado hajachanganya lkn chini ya Klopp atakuwa OK
 
Hizo progressive passes zilitupa nn kwenye hiyo mech against brighton......no one is standing for milner he is an average player (bcoz of his age) playing infront of the so called world class players (minamino,ox,curtis jones,keita etc) because of their incosistency, and poor deliverence when they are required to do so
Do you know the meaning of World Class players? nani kishawahi kuita hao wachezaji uliwa-bracket hapo kuwa ni WC? if you're not standing for Milner, do you think at his age ni better kuliko Curtis & Ox, even Takumi? what can he offer at 35?

He played as an advanced LCM against Brighton, so kati yake na Thiago/Gini nani aliyekuwa anatakiwa ku-link the attack? nani aliyekuwa anatakiwa ku-progress the ball? did he do it? Curtis did a better job against WH, do you think he didnt deserve the chance? what did Milner offer against WH?

Dumb head.
 
Matusi ndiyo yatakufanya points zako za hovyo ziwe za maana?
Hendo ni mido mzuri kuliko wote tulio nao Liverpool na pengo lake lipo wazi kabisa!

Kucheza vibaya baadhi ya mechi ni kawaida tu mbona kwa mchezaji?

Tumpe muda Thiago nina imani atakuja kuwa sawa kwa sasa bado
Hahahaha.

and, i thought you had autism, but its actually worse.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom