Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Fergie the great hivyo vitimu vidogo ndio vilikua vinampa ubingwa ndugu na sio kuwachapa timu kubwa hata sisi msimu uliopita vitimu vidogo tulivipiga mno mzunguko wa kwanza unaisha vilikua vinaomba po...
Mechi 6 zilizopita Manchester City kacheza na hivyo vitimu vidogo na kujikusanyia pointi 18 ndugu..
Tazama sisi haraka haraka tumekosa pointi 6 muhimu kwa Burnley na Seagulls...
Manchester City kupoteza mechi 3 na sisi kushinda mechi 5 mfululizo kwa kweli ni ndoto...
To be realistic I will take Big 4 finish as job well done considering the injuries and loss of form kwa wachezaji wetu...
The wins aganist Hammers and the Whites made us dream again perhaps Citizens are there to be nailed haha pipe dreams but jana was reality check we aint out of the woods yet...
YNWA
Hivyo vi timu vidogo kiboko yao jota,me bado naimani,jota akija tutakuwa tunashinda kwa vitimu vidogo hivyo.
Maana kipindi kile wakikaa nyuma jota bado anawafunga tu.maana kuna muda unaona kabisa hapa hakuna matumaini lakini jota akiingia lazima alete mabadiliko tu.
