Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ukiachana na Ufundi basi na Bahati ipo kwa Mwanadamu (Kwa hapa ni Mpira).

Mfano wa bahati hizo ni:-
  • Kuuzwa lukaku kwasababu ya Martial.
  • Kucheza Martial ahead of Cavani
  • Kucheza Abraham ahead of Giroud
  • Kucheza Origi ahead of Minamino
Huyu klopp ameua kipaji cha Keita kaona aitoshi kaua na kipaji cha minamino.
 
Nyie mabwge tumepiga mtu Tisa huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…