Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu Penison yuko Sahihi sana sababu Man Utd ni maadui wakubwa maadui pacha pamoja na Everton dhidi ya Liverpool

Sisi Anfield hatuna uadui na Man City , the same to Arsenal,Chelsea,Spurs
Mi achukue hata Spurs poa tuu ila Manchester United hapana nasema kwa herufi kubwa HAPANA

Mpaka tunasema hivi ingawa ni washabiki wa LFC ni sababu nyi wenyewe mnaona kocha (Klopp) anachotufanyia pale Klabuni
 
Nimefurahi umeona

Ila hapo wa kulaumiwa sio wachezaji bali ni kocha , Salah kwa mawazo yangu wa kupewa dakika chache , Gini anatakiwa kuwekwa mbele

Gini ana kipaji cha kufunga ila kocha hataki kumtumia kufunga

Chukulia mambo kwa mtazamo chanya ndugu! Front 3 yetu imechuja lakini jiulize unamueka Benchi Salah acheze nani anayeweza kuoffer zaidi ya kile anachooffer Salah? Uñamueka Benchi Firmino unamchezesha nani?
Au ndiyo aekwe Benchi Salah kwa kuchezeshwa Origi na Shaqiri?
Gini kwa Salah? No, big No kwakweli!

Front 3 yetu yote ni mbovu lakini tuwe wakweli hatuna mchezaji ambaye ni bora kuliko wao hivyo waendelee tu kucheza mpaka pale tutakapopata wabadala wao.
 
Liverpool ya hovyo kabisa kuwahi kuiona kwa hivi karibuni nimeiona jana tena ndani ya msimu huu.

Tension tu ya kutaka kutokupoteza game ndo iliyofanya na sisi United tubaki baki nyuma.
Pale kwenu Hamna quality yoyote ya kuifunga Liverpool licha ya Liverpool kustruggle hivi sasa

Ukiachana na Pogba na Bruno hamna wachezaji wenu waliocheza vizuri jana au useme angalau wanahadhi ya kiwango kuifunga Liverpool
 
Liverpool ya hovyo kabisa kuwahi kuiona kwa hivi karibuni nimeiona jana tena ndani ya msimu huu.

Tension tu ya kutaka kutokupoteza game ndo iliyofanya na sisi United tubaki baki nyuma.

Umeiona jana kwasababu ndiyo game uliyoifuatilia kwa umakini zaidi lakini tokea uanze msimu tunacheza Ovyo.


Enewey, kubaki kwenu nyumanyuma pia imewasaidia musifungwe kuliko mungefunguka.
 
Chukulia mambo kwa mtazamo chanya ndugu! Front 3 yetu imechuja lakini jiulize unamueka Benchi Salah acheze nani anayeweza kuoffer zaidi ya kile anachooffer Salah? Uñamueka Benchi Firmino unamchezesha nani?
Au ndiyo aekwe Benchi Salah kwa kuchezeshwa Origi na Shaqiri?
Gini kwa Salah? No, big No kwakweli!

Front 3 yetu yote ni mbovu lakini tuwe wakweli hatuna mchezaji ambaye ni bora kuliko wao hivyo waendelee tu kucheza mpaka pale tutakapopata wabadala wao.
Gini ana kipaji cha kufunga yule ,inawezekana sana kuchezeshwa 7 au 11 vizuri tu kiburi cha kocha

Origi ni kweli anazingua ila Klopp hajamtendea haki yeye na wengine wanaosugua benchi na ni kwa sababu Klopp hana au hajui rotation

Mfano au demonstration ya rotation angalia anachokifanya Guardiola kwenye rotation ,ule mfumo wa kurotate squad players pake Mancity anaoufanya Guardiola ndio mfumo mzuri wa rotation niliowahi kuuona tangu nizaliwe
 
When I hear pundits and media people say "Man United were well organised and successfully nullified LFC's attacking threat" it makes me smile to myself with so much ecstasy kwa kweli.
It speaks volume that one team (contextually inferior) showed up on the pitch only to nullify the other team (contextually superior).

Speaks volume about where we are today re the gulf in class between these two bitter rivals!
 
Mpaka pale klop atakapo amini kuwa

Mane firmino salah

Tayari nyakati zao zinaenda kuisha ,ajaribu kutafuta mbadala kwa kufanya rotation kwenye game huku akitengeneza vijana wengine hatari

Ona pep ,baada ya arguero kuumia ia na kuwa butu ,Jesus alishindwa kureplace ,bado akabadili mbinu ,anamtumia kdb kama false no 9 , na anawashika opponent

Baada ya nyuma kupwaya kwa kuondoka Vincent ,kastruggle na kina laporte ,zinchenko ,stone , kamleta na dias kutoka benafica aisee hawa madogo in monster hata kama walker na Fernandihno hawapo ,

Leo hata kama arguero ,Jesus hawapo ,bado uhakika was point 3 upo

Anajiamin ,hata kama arguero asipo ongeza mkata akaondoka city hawez struggle kivile ,pep kashaandaa mbinu mapema
 
Gini ana kipaji cha kufunga yule ,inawezekana sana kuchezeshwa 7 au 11 vizuri tu kiburi cha kocha

Origi ni kweli anazingua ila Klopp hajamtendea haki yeye na wengine wanaosugua benchi na ni kwa sababu Klopp hana au hajui rotation

Mfano au demonstration ya rotation angalia anachokifanya Guardiola kwenye rotation ,ule mfumo wa kurotate squad players pake Mancity anaoufanya Guardiola ndio mfumo mzuri wa rotation niliowahi kuuona tangu nizaliwe

City na Liverpool kuna Tofauti kubwa sana!
Imagine unamtoa Rodri unamuingiza Guandogan, unamtoa Sterling unamuingiza Mahrez, unamtoa Aguero unamuingiza Jesus an so on! Hapo usifanye rotation nzuri?

Lakini sisi ukitaka kumtoa Gini kwenye Benchi kuna Milner anakuangalia! Ukitaka kumtoa Bobby unakutana na Origi anakutolea macho! Hiyo rotation utaianzajeanzaje hapo?
 
Pale kwenu Hamna quality yoyote ya kuifunga Liverpool licha ya Liverpool kustruggle hivi sasa

Ukiachana na Pogba na Bruno hamna wachezaji wenu waliocheza vizuri jana au useme angalau wanahadhi ya kiwango kuifunga Liverpool
Mkuu umeacha na mabeki wao walikua na timely tackles na interception zao na blocks zilitufanya kuambulia sare...

Manchester United wao wanatarajia muujiza wa Bruno sasa mechi ya tatu amepotea mpaka Ole anamtoa jana hoi..

Jumapili wakimuanzisha benchi Bruno nina uhakika wao kupata ushindi..

YNWA
 
Mpaka pale klop atakapo amini kuwa

Mane firmino salah

Tayari nyakati zao zinaenda kuisha ,ajaribu kutafuta mbadala kwa kufanya rotation kwenye game huku akitengeneza vijana wengine hatari

Ona pep ,baada ya arguero kuumia ia na kuwa butu ,Jesus alishindwa kureplace ,bado akabadili mbinu ,anamtumia kdb kama false no 9 , na anawashika opponent

Baada ya nyuma kupwaya kwa kuondoka Vincent ,kastruggle na kina laporte ,zinchenko ,stone , kamleta na dias kutoka benafica aisee hawa madogo in monster hata kama walker na Fernandihno hawapo ,

Leo hata kama arguero ,Jesus hawapo ,bado uhakika was point 3 upo

Anajiamin ,hata kama arguero asipo ongeza mkata akaondoka city hawez struggle kivile ,pep kashaandaa mbinu mapema
Haha Klopp atakwmabia hana mabilioni ya Mansour...

Kata mti panda mti...

Manchester City wana benchi la uhakika nafasi zote kasoro LB ndio bado hajakamilisha..

YNWA
 
Liverpool ya hovyo kabisa kuwahi kuiona kwa hivi karibuni nimeiona jana tena ndani ya msimu huu.

Tension tu ya kutaka kutokupoteza game ndo iliyofanya na sisi United tubaki baki nyuma.

We jamaa inaonesha huangalii timu tofauti na yako, binafsi jana naona hata ilikuwa angalau.

Niseme tu nilishangazwa na timu kubwa kama Man Utd kuja kutafuta sare kama kina Fulham, Westbrom, Brighton and the like.

Hata Mourinho hakupaki basi kama mlivyofanya nyie.
 
An extract from ESPN:


With the exception of goalkeeper Alisson Becker, who arrived in the summer of 2018, the key players in Klopp's team are the same as they were three years ago and there are no secrets anymore with this Liverpool side.

Teams know how Mane and Salah like to receive the ball and what they do with it, they know that Liverpool lack creativity in midfield and that Van Dijk's injury has taken away their self-confidence at the back. They know that the full-backs are Liverpool's most potent creative force, so they are learning all the time how to stop them.

Liverpool's rivals have figured them out; Klopp now needs to outsmart them all again to end the goal drought..


You can read full report here:

 
Ila Mara nyingi January inakuwaga ngumu kwa Liverpool
An extract from ESPN:


With the exception of goalkeeper Alisson Becker, who arrived in the summer of 2018, the key players in Klopp's team are the same as they were three years ago and there are no secrets anymore with this Liverpool side.

Teams know how Mane and Salah like to receive the ball and what they do with it, they know that Liverpool lack creativity in midfield and that Van Dijk's injury has taken away their self-confidence at the back. They know that the full-backs are Liverpool's most potent creative force, so they are learning all the time how to stop them.

Liverpool's rivals have figured them out; Klopp now needs to outsmart them all again to end the goal drought..


You can read full report here:

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom