Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

At the same time, kwa upande wa pages pia tume hit 5,000 landmark.
YNWA

Na mnamo miaka ya 2015 Uzi wa Liverpool tulikuwa tunakimbizwa na Nyuzi za Arsenal na Chelsea kwa mbali sana! Lakini sasa tunawakimbiza wao Hii yote ni kuonesha many of them how Plastic Fans they are isipokuwa wachache tu.
Walisapoti Timu zao wakati wa Mafanikio lakini kila wanapoona kiza kinatanda mbele yao ndiyo wamezikimbia Timu zao! Huenda wengine wameibuka na ID nyengine za kujifanya Wapenzi wa Man City na Liverpool.

Na hapa wapo Plastic Fans waliohamia baada ya Kuja Klopp, hali tuliyonayo ikiendelea baada ya miezi 6 tu watatoweka.
 
Hawa liverpool walikuwa na nafasi nzuri zaid ya kushinda lakini wamekubali kulazimishwa draw na timu kama manure

Huu ni udhaifu mkubwa kwa kocha kama klopp..
Inaonesha front yao yani Mane, Salah, na Firmino ni butu kwa sasa..
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hiyo unaita manure iko nafasi gani kwenye ligi?
Umecheki stats za mechi mpaka useme ni udhaifu wa kocha.
Chelsea bwana.. mko nafasi ya 7 unaongea kama uko top kumbe hata top 4 haupo.
 
Na mnamo miaka ya 2015 Uzi wa Liverpool tulikuwa tunakimbizwa na Nyuzi za Arsenal na Chelsea kwa mbali sana! Lakini sasa tunawakimbiza wao Hii yote ni kuonesha many of them how Plastic Fans they are isipokuwa wachache tu.
Walisapoti Timu zao wakati wa Mafanikio lakini kila wanapoona kiza kinatanda mbele yao ndiyo wamezikimbia Timu zao! Huenda wengine wameibuka na ID nyengine za kujifanya Wapenzi wa Man City na Liverpool.

Na hapa wapo Plastic Fans waliohamia baada ya Kuja Klopp, hali tuliyonayo ikiendelea baada ya miezi 6 tu watatoweka.
Hongereni, mjitahidi mtatufikia na sisi Man United

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Firmino kazingua sana.
Aisee dogo naona msimu huu anachemka sana...

Cha kusikitisha hua sio mbinafsi lakini jana ulimuona mahala pa kutoa pasi analazimisha goli...

Manchester City taa limewaka msimu wao huu sioni kwa hali ilivyo kwetu hata tukimsogelea...

Klopp anasema ina imani na vijana wake magoli yatakuja ila lini hata sijui...

Salah na Firmino ipo tatizo kubwa kwao.. Wamesinzi kabisaaaa..

YNWA
 
Aisee dogo naona msimu huu anachemka sana...

Cha kusikitisha hua sio mbinafsi lakini jana ulimuona mahala pa kutoa pasi analazimisha goli...

Manchester City taa limewaka msimu wao huu sioni kwa hali ilivyo kwetu hata tukimsogelea...

Klopp anasema ina imani na vijana wake magoli yatakuka ila lini hata sijui...

Salah na Firmino ipo tatizo kubwa kwao.. Wamesinzi kabisaaaa..

YNWA
Karibu MANCHESTER CITY Mkuu ,Huku Beki sio Henderson.
 
Yes,Karibuni OT..
Shukrani nadhani gemu ijayo magoli yatapatikana na pazuri lazima apatikane mshindi siku hio..

Klopp sitamwelewa ile attitude yake na hivi vikombe vya kahawa maana dhidi ya Manchester United hua sio kawaida ni battle ya supremacy.. hopefully itakua full nondo vikosi tupate burudani...

YNWA
 
Nyinyi Liverpool PEP nendeni, sisi Liverpool HALISI tutabaki tunashikamana na timu yetu hii ya kina Firmino waliochoka na kocha Klopp aliyeamua kuwakumbatia.
Siku hizi humu hakuna stiki kama zamani na pia tumepata plastic fans
huko nyuma kulikuwa na fimbo za kutosha

kuna watu walikuwa na wachezaji tena U20 (teixeira) na walikuwa wanapendwa balaaa ndo maana Malafyale anaonekana mkorofi ila wale watu wagumu wa kipindi kile ni wapenzi wasomaji.

Ni kweli tupo kwenye form mbaya ila tutatoka cha msingi tubakie top 4 tu


Heri ya mwaka mpya
 
Machache niliyoyaona kwenye game ya Jana:-

  • TAA lazima aongeze bidii kwenye ubunifu, uchezaji wake kwa sasa hauridhishi.
  • Bobby ni completely finished tuondoshe false hope za kuwa atarudi mchezoni.
  • Salah has no more football brain, he's headless chicken.
  • Mane anacheza na mpira some kind ya version ya Zaha anafanya kazi kubwa lakini end product ni meaningless.
  • Pogba amepoteza uwezo kwa kiasi kikubwa sana na hachezi mpira wa Mtu mwenye furaha, njia pekee ya kurudi mchezoni ni nje ya Man United.
  • Bruno ni wa kawaida sana without diving and penalty spot, Jana ameshindwa kabisa kuendana na mchezo.
  • Origi no more type ya Liverpool player.
  • Gini toothless tiger can play 90' minutes with single danger to our opponent.
  • Milner ni Bulldozer.

Klopp he's in difficult time to be honest
Hahaha baada ya Don Clericuzio kusajiliwa rasmi Halisi naona sasa wahamishia nguvu kukunasa kabla dirisha la usajili halifungwo...

Mkuu Ibn Shaame kwa sasa timu imekua butu kabisa kwa vile tumeyaacha yaliyotupa mafanikio na kutaka kuja kivingine na hilo wala hatutafanikiwa kamwe..


Ipo hivi Klopp hua ni muumini wa high press kuvuruga mipango ya wapinzani wakiwa kule kule kwao na hatimae kuwang'anya mpira na immediately tunaanza mashambulizi hili limekua ndio nguzo kuu kwetu na imeleta mafanikio makubwa sana kwetu... Shinda inaanza sasa baada ya ile gemu ya Aston Villa huu mfumo ulionyesha udhaifu mkubwa mno pale ambapo timu pinzani wata soak plesha aafu wastukiza kaunta tunakua tumekwisha kutokana na hilo sasa hatuweki tena ile high line defence kama zamani hivyo mashambulizi yetu yanakua sio quick and lethal kwa vile by the time tuanze mipango timu pinzani wanakua washarudi kwenye defensive duties zao asa hapo unadhani kuna kupenyeza wapi pasi tena... Zamani Robbo na TAA walikua muda mwingi wanakua half ya timu pinzani lakini sasa wanakua half yetu na ukumbuke hawa ndio main creators wetu kwenye mashambulizi pale mbele bila wao kuna ubunifu wowote kwa wengine... 4 3 3 kwetu imeshafeli msimu huu tumeshajuliwa wapige pin Robbo, TAA na Mane na tunakua toothless lion...

Klopp should start immediately changing huu mfumo kabisa 4 3 3 bila the right players will be useless kwetu...

Hatuna wachezaji sahihi pale defence wa kucheza highline ili 4 3 3 ya highline iwe accurate kwetu..

Ushindani umezidi kuongezeka na pale wanaoshuka daraja wanajua kule Championship kuna shinda ya finance due to covid hivyo hakuna timu inaingia uwanjani bila mipango dhabiti kupata pointi 3 muhimu...

How Klopp survive this scare will define this season outcome.. Aidha anunue ama awatumie waliopo anavyojua yeye kazi kwake...

YNWA
 
Hahaha Mkuu mpe hae Pep mwambie kazi yake naikumbali...

Mie kwa Majogoo sitoki ng'o kama sikutoka kipindi cha nafasi zileee 6 mpakab12 itakua sasa tupo juuu japo kama tunashuka ila Big 4 tumoooo..

YNWA
Mkuu hujamuelewa Penison, hapo anamaanisha tukikosa Ubingwa Bora kuishabikia Mancity kuliko Mwantesa United wachukue kombe
 
Siku hizi humu hakuna stiki kama zamani na pia tumepata plastic fans
huko nyuma kulikuwa na fimbo za kutosha

kuna watu walikuwa na wachezaji tena U20 (teixeira) na walikuwa wanapendwa balaaa ndo maana Malafyale anaonekana mkorofi ila wale watu wagumu wa kipindi kile ni wapenzi wasomaji.

Ni kweli tupo kwenye form mbaya ila tutatoka cha msingi tubakie top 4 tu


Heri ya mwaka mpya

Na kwako pia mkuu.

Unajua hili swala la ukame wa magoli siyo la leo, ni toka game ya Watford, tukapigwa na Atletico, tukaenda corona, kurudi kila mtu akawa anajipigia tukajitetea ni kwa sababu ya ubingwa tumeshachukua.

Tumeanza ligi Mpya, Salah akawa anakosa 5 anapata 1, Firmino akapotea, Mane naye ikawa ni leo yupo heri kesho hoi. Jota akafufua matumaini mpaka ikaanza kampeni ya amweke benchi Firmino, kocha akawa hataki. Jota akala msumari, maisha yakawa haya.

Kwa mwendo huu sioni kama Firmino atakuja arudi tena, nisamehewe pia kusema Salah maisha ya Liverpool yanaelekea mwisho (kwa mtazamo wangu).

Tusipochanganya hiki kikosi na watu wapya (Bora), huu utakuwa mwisho wa utawala wetu mfupi.
 
Usajili unaohitajika kwa sasa:

- One Winger: Huyu ataungana na Jota na Mane kwa mfumo huu=>
MANE - JOTA - NEW WINGER
Salah aruhusiwe kwenda huko anakotaka coz kwa tetesi ninazozisikia sikubaliani na kumshikilia mchezaji asiye na furaha hata kama ni Messi.

- One AM: Huyu atashirikiana na Fabinho na Thiago kwa mfumo huu=>
Thiago - Fabinho - New AM
Gini aende huko Barcelona anakokutaka.

- On CB: Huyu atashirikiana na VVD then Gomez na Matip (Kama atakuwepo) watakuwa ni sehemu ya Depth kwenye ulinzi Coz Gomez namba 2 na 3 anaweza kucheza vizuri tu.

Note: Hao niliowataja sio squad players but wawe ni regular players, mpaka hapo basi tayari tutakuwa tumeshasolve matatizo yetu.
Tuuze Salah na gini tupate hela

Tufanye updates Kama ya Allison na vvd
 
Tuuze Salah na gini tupate hela

Tufanye updates Kama ya Allison na vvd
Nimefurahi umeona

Ila hapo wa kulaumiwa sio wachezaji bali ni kocha , Salah kwa mawazo yangu wa kupewa dakika chache , Gini anatakiwa kuwekwa mbele

Gini ana kipaji cha kufunga ila kocha hataki kumtumia kufunga
 
Na kwako pia mkuu.

Unajua hili swala la ukame wa magoli siyo la leo, ni toka game ya Watford, tukapigwa na Atletico, tukaenda corona, kurudi kila mtu akawa anajipigia tukajitetea ni kwa sababu ya ubingwa tumeshachukua.

Tumeanza ligi Mpya, Salah akawa anakosa 5 anapata 1, Firmino akapotea, Mane naye ikawa ni leo yupo heri kesho hoi. Jota akafufua matumaini mpaka ikaanza kampeni ya amweke benchi Firmino, kocha akawa hataki. Jota akala msumari, maisha yakawa haya.

Kwa mwendo huu sioni kama Firmino atakuja arudi tena, nisamehewe pia kusema Salah maisha ya Liverpool yanaelekea mwisho (kwa mtazamo wangu).

Tusipochanganya hiki kikosi na watu wapya (Bora), huu utakuwa mwisho wa utawala wetu mfupi.
Salah yuko too soft(haya ni madhaifu yake huyu simhukumu kwa hilo sababu ni kama maumbile) ila kiwango cha Salah kimeshuka sana
 
Mkuu hujamuelewa Penison, hapo anamaanisha tukikosa Ubingwa Bora kuishabikia Mancity kuliko Mwantesa United wachukue kombe
Mkuu Penison yuko Sahihi sana sababu Man Utd ni maadui wakubwa maadui pacha pamoja na Everton dhidi ya Liverpool

Sisi Anfield hatuna uadui na Man City , the same to Arsenal,Chelsea,Spurs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom