Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Boby, hendo, Gini, Ox , Keita
Naona wakatafute tu changamoto tu mahala pengine kwa sasa .

Tuna hitaji AM na ST bila kusahau CB moja matata.
Jota ni replacement nzuri ya mane na salaha.
 
Boby, hendo, Gini, Ox , Keita
Naona wakatafute tu changamoto tu mahala pengine kwa sasa .

Tuna hitaji AM na ST bila kusahau CB moja matata.
Jota ni replacement nzuri ya mane na salaha.
Tatizo mfumo yaan watu washaidecode code ya klopp so inabid aje na mfumo mzur wa kutafuta magoli maana huu wa sasa wa kuwategemea kina trent umeshashtukiwa
 
Nyie chelsea mkiwa wapi wakati huo? Halaf unawafokea liverpool. Uliwafunga ww?
Hawa liverpool walikuwa na nafasi nzuri zaid ya kushinda lakini wamekubali kulazimishwa draw na timu kama manure

Huu ni udhaifu mkubwa kwa kocha kama klopp..
Inaonesha front yao yani Mane, Salah, na Firmino ni butu kwa sasa..
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Liverpool HALISI haina haja ya kupanic,team itaimarika zaidi mwezi huu.Matip anarudi kwa hiyo Hendo anapanda juu na Jota karibia kurudi!
Tuzidi kuwa karibu na team,hamna faida yyt kutukana team,tuachie kazi hiyo Liverpool feki!
In trust we believe
 
Boby, hendo, Gini, Ox , Keita
Naona wakatafute tu changamoto tu mahala pengine kwa sasa .

Tuna hitaji AM na ST bila kusahau CB moja matata.
Jota ni replacement nzuri ya mane na salaha.

Hendo haendi popote
Ndiyo backborne yetu,akirudi Matip atapanda mbele tuta anza kushinda
 
Liverpool tunapitia hali ambayo team nyingi huwa zinapitia ila sio kwamba usiku mmoja tumekuwa team mbaya hapana, hata perfomance haikuwa mbaya kwa maana tuliweza kutawala yako matatizo sikatai hasa mbele kujiamini kidogo lakini hawa ni wachezaji walikuwa moto miezi nyuma kidogo. Naamini kabisa defenders wetu wakirudi halafu Fab, Hend na Thiago wakacheza kati ili Thiago acheze kama 10 fulani hivi maana anaweza kupunguza watu na kuweka pass halafu Diogo akarudi kuleta chachu team bado nzuri sana tu. tuko wa 4 lakini ni 3 points tu na wajuu mechi bado sana kila mtu atacheza na mwenzie mimi naamini team nzuri ila hatuko vizuri katika wakati huu lakini sio team mbovu hapana.
 
Adjustments.jpg
 
Kila siku nasikia kelele hapa aanzishwe Xhaqiri haya jana kwanza What happened zaidi ya kwenda mbio huku na huku? Au ndiyo nayeye alikuwa anahangaika? Manake sikuhizi utasikia mchezaji anasifiwa kwa kuhangaika.
 
Four straight game without scoring hili hatuna njia ya kujifanya hatulioni! Vipi bado tunalaumu baadhi ya Wachezaji? Nilisema kuwa zamani kuwa Front 3 yetu kwasasa ni Toothless Tiger.

Ndani ya Dakika 90 Degea kapata challenge 1 tu ya lile shuti la Thiago.

Ukija Front 3 yetu wote watatu wamepoteza focus kwenye goli, na cha ajabu hata uwezo wa kutoa pasi hawana tena.

Sehemu ya kutoa pasi ndiyo wanakokota mipira na kupiga stupid shots, Sehemu ya kushot wao ndiyo wanatoa pasi, kiuhalisia wamepoteza uwezo kwenye Decision making.
 
Machache niliyoyaona kwenye game ya Jana:-

  • TAA lazima aongeze bidii kwenye ubunifu, uchezaji wake kwa sasa hauridhishi.
  • Bobby ni completely finished tuondoshe false hope za kuwa atarudi mchezoni.
  • Salah has no more football brain, he's headless chicken.
  • Mane anacheza na mpira some kind ya version ya Zaha anafanya kazi kubwa lakini end product ni meaningless.
  • Pogba amepoteza uwezo kwa kiasi kikubwa sana na hachezi mpira wa Mtu mwenye furaha, njia pekee ya kurudi mchezoni ni nje ya Man United.
  • Bruno ni wa kawaida sana without diving and penalty spot, Jana ameshindwa kabisa kuendana na mchezo.
  • Origi no more type ya Liverpool player.
  • Gini toothless tiger can play 90' minutes with single danger to our opponent.
  • Milner ni Bulldozer.

Klopp he's in difficult time to be honest
 
Usajili unaohitajika kwa sasa:

- One Winger: Huyu ataungana na Jota na Mane kwa mfumo huu=>
MANE - JOTA - NEW WINGER
Salah aruhusiwe kwenda huko anakotaka coz kwa tetesi ninazozisikia sikubaliani na kumshikilia mchezaji asiye na furaha hata kama ni Messi.

- One AM: Huyu atashirikiana na Fabinho na Thiago kwa mfumo huu=>
Thiago - Fabinho - New AM
Gini aende huko Barcelona anakokutaka.

- On CB: Huyu atashirikiana na VVD then Gomez na Matip (Kama atakuwepo) watakuwa ni sehemu ya Depth kwenye ulinzi Coz Gomez namba 2 na 3 anaweza kucheza vizuri tu.

Note: Hao niliowataja sio squad players but wawe ni regular players, mpaka hapo basi tayari tutakuwa tumeshasolve matatizo yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom