Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Unavyoona Manchester City wakirudi kwenye kasi yao bila Jesus na Aguero inatisha ndugu...Sijui kwann Ila leo ni Sina hofu hata kidogo kuhusu hii mechi na naamini tutashinda ushind mzuri tu...khofu yangu Ni man city kuliko man untd kiukweli.
Sent from my M1 Lite using JamiiForums mobile app
Ukweli ni kwamba kama Pep na vijana wake ni tishio kwetu kuliko majirani zao..
Gemu hii ya leo ndio ya kutuma ujumbe namna tunavyoumbakisha ubingwa Anfield...
Pazuri ni kwamba hawa jamaa wamefungwo goli 24 huku sisi na ukuta wa kuungaunga tukifungwo 21 hivyo inaonesha wao pale nyuma wanafungika..
Kingine sisi tumefunga goli 37 na wao wana 34 pia hii imekaa powa kwani pale mbele kwetu makali yamepungua hivyo wakiweza Salah na wenzie leo wana nafasi ya kurudisha yale makali yao..
Mahala ambapo naona wanaweza kutuumiza ni kwenye counter attack msimu huu wana goli 5 ambapo ni EPL highest huku sisi tukiwa na goli 3,.. Hili la counter attack ndio linanipa shinda kwani wanawachezaji wenye mbio na akili pale mbele huku mkijua Fabinho mbio sio moja ya ubora wake...
Whats a game bring em...
YNWA