Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
20th EPL loading 👍👍👍👍💯💯💯💪💪💪💪Come on Red Army make us dream BIG again...
YNWA
Keita tangu aje Liver hajawahi kuwa na kasi yoyote, ni average tuu kama average wengine, hana mechi yoyote tuliyohitaji ushindi kwa hali na mali akastep up.Imagine Keita na OX wangebaki na kasi waliokuja nayo then nyuma yao kuna Fabinho Yani Mtu kama mimi hata nisingejipa ubize wa kutazama mechi za Liverpool kazi yangu ingekuwa moja tu ni kukamata PEPSI mkononi nikauliza tu tumemla Mtu ngapi?
KEITA - OXLADE
FABINHO
Mr liverpool mbona mnaonngea kama vile huwa mnatufungaga kila misimu kama saba sasa match ninazokumbuka mlizotufunga kwenye pl ukitoa hizi mbili zilizopita ni match moja tu mmetufunga yani kwenye match 14 mmetufunga 3 tu
Tukutane baada ya mechi.Kuifunga manchester united hiyo ni ngumu.
Jitahidini musitoke nje ya top 4.
.JAJIMENTOManeno anasemwa Mungu itakuwa timu?
Leo ndio tunakuja kuuvunja huo mwiko, "sijui mutapikia nini?"Mind game ndugu..
Niliona mechi yao dhidi ya Citizens na kiukweli walikamatika no spark anywhere to unsettle Pep boys sasa hivi lazima awajenge kisaikolojia vijana wake ili wasije poteana...
Asikwambie mtu ndugu Anfield tangu atue Klopp panatisha EPL yaaani kuchomoza na pointi inabidi pinzani wajipange...
YNWA
Sare? Mbona kitambaa kidogo hiki!MANE - BOBBY - SALAH
Lazima wawe kwenye Best form leo ili tuweze kushinda hii North West Derby. Otherwise sioni zaidi ya kupoteza au kutoa sare.
Aisee mkipigwa na nyumbu leo top four mnaanza kitafuta kwa manati kudadekii
Epl ni vurugu
Karibuni sana Anfield tupo tayari...Leo ndio tunakuja kuuvunja huo mwiko, "sijui mutapikia nini?"
Mkuu Masamila kweli Henderson awe mzima kabisa Klopp asimpange kweli inawezekana..Watu wasiichukulie poa hii gemu wadau ,kupigwa kupo na uwezekano ni mkubwa sana
Wakianzishwa Greenwood na Cavani nyuma yao yuko Bruno kimasihara masihara yanaweza kutokea ya kutokea
Ila Henderson asianzishwe yule
Utachezewa uko kudogo hauta sahauLeo ndio ile siku nataka kulichinja kuku langu (sijui kama jogoo ama mkoo/ mtembe?)
Baada kulifuga kwa muda mrefu leo nimeona ni bora nilichinje, maana majirani washaanza kulitolea macho.