Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Huyo mzee wenu ni kichaaSisi Liverpool HALISI tumeshauriwa na mwenyekiti wetu kwamba tusiisema timu hata kama haifungi, haipati mchezaji bora wala kocha wa mwezi.
BTW: Ikitokea bahati mbaya tukachukua ubingwa mwaka huu, nitakuwa na furaha iliyopita kiwango. Hali yetu ni ya kuunga unga sana.
Nyumbu
