Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sisi Liverpool HALISI tumeshauriwa na mwenyekiti wetu kwamba tusiisema timu hata kama haifungi, haipati mchezaji bora wala kocha wa mwezi.

BTW: Ikitokea bahati mbaya tukachukua ubingwa mwaka huu, nitakuwa na furaha iliyopita kiwango. Hali yetu ni ya kuunga unga sana.
Huyo mzee wenu ni kichaa

Nyumbu
 
Sisi Liverpool HALISI tumeshauriwa na mwenyekiti wetu kwamba tusiisema timu hata kama haifungi, haipati mchezaji bora wala kocha wa mwezi.

BTW: Ikitokea bahati mbaya tukachukua ubingwa mwaka huu, nitakuwa na furaha iliyopita kiwango. Hali yetu ni ya kuunga unga sana.
Ikitokea bahati mbaya????

Japo hatupo on our best form, lakini bado tunaweza ku compete na kuchukua ubingwa wala haitakuwa bahati mbaya.
 
Adjustments.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom