Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool HALISI tuendelee kuwa na team,tarehe 17 tukubali kila aina ya matokeo,tusiwe na matokeo yetu mfukono!
Tuheshimu maamuzi ya Klopp na tuendelee kuwaunga mkono wachezaji
Mkuu sisi liverpool KHALISI tu uhakika timu yetu haita eba kombe maana tuna kanuksi fulani hivi ..

Hili kombe tuna uhakika litatua London msimu huu..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Adjustments.jpg
 
Edwards na kikundi chake wanaweza wakawa awana mpango wa kusajili this Jan
Yeah hawa jamaa hua si waumini wa quick fix aisee ila mazingira sasa sio rafiki kwetu muda wa kusubiri Juni hatuna labda wawe wamekumbali ubingwa huu kuwaachia wengine...

Ukweli ni kwamba pale nyuma panahitaji usajili kwani Matip ni miaka 28, VVD 29, Gomez 23 na ukitazama historia ya majeruhi ya hawa jamaa wawili Gomez na Matip ni kwamba ni ngumu kukupa gemu 5 mpaka 10 mfululizo bila janga la majeraha ni ngumu sana..

Eder Militao naona magazeti mengi yanasema Real Madrid wanataka kumtoa kwa mkopo na kuna option ya kumnunua kwa £50m pengine June 2021...ana miaka 22 ni Mbrazili kabla ya kwenda Real Madrid kulikua na tetesi tulimfuatilia kwa muda tu enzi hizo akiwa Porto...

Ngoja tuwe na subira tuone maana dirisha lipo wazi bado..


YNWA
 
Wakuu kile kikundi cha Manyumbu wa Edwadi
Wanasemaje wanachukua au wameacha kulonga
 
Kwa vipindi kadhaa tumezoea kuona Wachezaji Bora na Kocha Bora wa kila Mwezi wa EPL wanatoka Liverpool! But now takriban mwaka mmoja sasa hatutoi Kocha bora wala Mchezaji bora! Kuna la kutafakari hapa.

Sisi Liverpool HALISI tumeshauriwa na mwenyekiti wetu kwamba tusiisema timu hata kama haifungi, haipati mchezaji bora wala kocha wa mwezi.

BTW: Ikitokea bahati mbaya tukachukua ubingwa mwaka huu, nitakuwa na furaha iliyopita kiwango. Hali yetu ni ya kuunga unga sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom