Mimi siyo shabiki wa liva.Mkuu city hawezi kukaa juu kama akilingana idadi ya michezo na Utd.
Utd atakuwa juu kwa point moja. Nakusahihisha...angalia vizuri msimamo...city ana viporo viwili ukilinganisha na nyie (liver) ila kimoja ukilinganisha na Utd.
Piga hesabu vizuri!
Labda anamaanisha kikombe cha chai?!Kombe la kiganga labda
Wewe kweli akili zako jau Mancity ina complete squad ao walio majeruhi tu wanaweza beba ubingwa kina saneGuardiola hana team mkuu!
Liverpool atatetea ubingwa wake
Haisimamishwi. Ila kuna taratibu zinawekwa
Kuna post niliona ig iliyosema ligi haisimami.Utaratibu gani ambao haupo?
Scotland wameweka sheria kali sana
Wewe kweli akili zako jau Mancity ina complete squad ao walio majeruhi tu wanaweza beba ubingwa kina sane
Nilitaka kusema AkeDuuh!
Sane anacheza Bayern Munich kaka toka September mwaka jana!
Silva yupo Spain
Man C hawezi chukua ubingwa hana watu kwa sasa
Nilitaka kusema Ake
Ushakuwa mganga wa kienyeji sasa, sio?Most likely huu ubingwa akachukua Guardiola
Zifunge timu kubwa kwa ndogo sio ndogo tu ndio labda uchukue ubingwa
Msimu huu Spurs anawafunga nje ndani, Round ya pili Emirates stadium hamshindi ,Chelsea pia sidhani kama mtamfunga msimu huu
Kutesa kwa zamu ndugu...
Yaokote hayo maplastiki ukayauze wala si laana bali ni ajira binafsi nzuri tu, haina kodina inalipa mno kuliko ile ya Leonada Mangi wa Dar City.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Nyie Liverpool si mnao ma play maker ndiyo maana SUTTON kafa 5Kwa jinsi anavyo cheza sasa bila play makers kati na kidogo KDB kayumba sana kwenye kiwango hawezi chukua EPL
Yaani nilikuwa nasubiri post yako kujua utaandika nini.
Hongereni sana mkuu.
Kuna jamaa hapo juu kaandika "Ings anawapungia " sijui umeiona hiyo post.
Hizo ni porojo tu..Kuwafunga wakubwa huku wadogo wanakukazia ni upumbavu..na ndo maana mechi ya 17 tunaenda kukaa juu ya table..hao wanaowafunga big teams watakuwa wapi?Most likely huu ubingwa akachukua Guardiola
Zifunge timu kubwa kwa ndogo sio ndogo tu ndio labda uchukue ubingwa
Msimu huu Spurs anawafunga nje ndani, Round ya pili Emirates stadium hamshindi ,Chelsea pia sidhani kama mtamfunga msimu huu
Mkuu, City amecheza michezo 15 ana points 29.Kitoabu shida yako ndiyo hii.
City ana games mbili mkononi hizi games akishinda anaenda kua namba moja kwa tofauti ya points mbili.
Na nyinyi mna game moja nafikiri.
Tukiangalia rekodi za kuperform kwa man u na city ni ngumu kusema man u atakazana hapo alipo. Mashabiki mmemtukana kocha na kutaka atoke amekusanya points mnaanza kuhisi muda wa kombe ndiyo umefika, siyo kweli.
Ligi ya sasa kuanzia wa 11 akishinda games tatu mfululizo ana chansi ya kufika namba 6 akipoteza games 2 mfululizo anajikuta nafasi ya 15. Kuna siku nilikuambia hiyo nafasi ya pili kakaa, leicester, chelsea, villa, southampton, city, spurs na wote wametoka haitakua ajabu na man u akitoka.
Breaking news:
PM Boris to adress the nation at 1:30 PM UK time!
League ya EPL kusimamishwa sababu ya kuenea sana maambukizi ya corona?
Stay tuned
Ukipungiwa na wewe punga.
Hujakosea boss. Ngoja tuone mnavyochukua kombeMkuu, City amecheza michezo 15 ana points 29.
Manchester United ame cheza 16 ana points 33.
Hii maana yake hata akishinda zote (na mimi nimfunge Burnley) bado nitakua point 1 mbele yake.
Sasa anawezaje kuwa mbele kwa points 2?
Au nahapo nimekosea? (Maana huchelewi kuniambia sijui mpira)