Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Misimu iliyopita ilikuwa Origi hata umuingize dakika 5 za mwisho Impact yake ilikuwa Mpinzani maji anaita mma.
Lakini sasahivi kufanya Sub ukamuingiza Origi Basi unatamani angetoka mtu na asiingie yeyote. Jamaa kachuja hafai hata kuugusa mpira basi anatimiza dakika 5 hajaugusa.
Bobby ana misumari ya kiafrika Yani.
Alikuwa anakazana ili aongezewe mkataba sasa ameshapewa mkataba mpya haoni haja ya kujituma tena kama asipochezA na mshahara anapata haoni Tatizo kwake,