Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Wage structure ya LFC, haijafika 200k p/w, hatuna mchezaji anayelipwa hicho kiasi initially.


Salah, alivyo-sign his new deal, reports zikawa ni kaongezewa wages mpaka 230k p/w, but kwa structure yetu kufikia huko tunakuwa tumeharibu utaratibu wote, so kama namlipa Salah 200k (after tax), it means kwa week anaweza akawa anapata si chini ya 250k (pamoja na bonuses za performances/goals/assists etc), hizi bonuses zipo kwenye kila MIKATABA ya big players, sasa FSG hawawezi kuruhusu inital wage ifike/ivuke 200k

Bonuses, siyo initial wages, but huwa zinakuwa included pamoja na wages, so unaweza ukakuta kwenye mkataba wa Salah, kuwa akicheza mpaka dakika ya 60/75 ana bonuses, akifunga goal ana bonuses, akiwa Man of the Match ana bonuses, akitoa assists ana bonuses, etc, so kwa Club kama yetu hatuwezi ku-offer initial Salary ya 200k p/w, kwa maana ya kuwa Salah ana wastani mzuri wa kufunga/assist/kucheza dk 90, so ingekuwa ni zaidi ya 250k-270k p/w, bado hatuna uwezo huo, na ndiyo maana kama tukimnunua Mbappe, itatubidi tu-reshuffle our wage bill, maana he will demand 280k-300k as initial salary and after tax, so ukijumlisha bonuses itaenda mpaka kwenye 350k-370k..

Salah, hajafika 200k, but sometimes ni extra bonuses zinazofanya kwa week apate net ya 200k na zaidi..

Mfano, last season we won the league, but we registered thin-profit margin kwenye books, maana Club ilitoa bonues kwa kila mchezaji baada ya kushinda LEAGUE, huge bonuses.
Tatizo waafrica mnapenda kuchukulia kila kitu ni racial thing, so kila litalotokea mnatafta sababu ya kuweka racial thoughts humo,
Ukiisakama racial segregation utaipata tu ata kwenye jambo la kawaida
Na lalamikalalamika hii ndo inayoendeleza mambo ya racism yaendelee
Ivi unahisi dunia nzima ikiimba "black lives matter" inasaidia au inatuaibisha, only stupid people watadhani inasaidia weusi ila in reality inaua, though kwenye employment itasaidia lkn, but the only problem with us ni kudhani kuimba racism kunawasaidia waafrica, but in fact our only stupidity is what is killing us
 
Tatizo waafrica mnapenda kuchukulia kila kitu ni racial thing, so kila litalotokea mnatafta sababu ya kuweka racial thoughts humo,
Ukiisakama racial segregation utaipata tu ata kwenye jambo la kawaida
Na lalamikalalamika hii ndo inayoendeleza mambo ya racism yaendelee
Ivi unahisi dunia nzima ikiimba "black lives matter" inasaidia au inatuaibisha, only stupid people watadhani inasaidia weusi ila in reality inaua, though kwenye employment itasaidia lkn, but the only problem with us ni kudhani kuimba racism kunawasaidia waafrica, but in fact our only stupidity is what is killing us

Man, unakuwaga na mindset ya ajabu sana.

Fix it.
 
Salah is happy at Liverpool, says Klopp

Dec 24 2020



Mohamed Salah has scored five goals in his past four Premier League appearances

London (AFP) - Liverpool coach Jurgen Klopp moved to dismiss speculation over Egypt forward Mohamed Salah’s future saying on Thursday he is happy at the Premier League champions.

The 28-year-old gave an interview in Spain last week in which he said Barcelona and Real Madrid were top clubs and “who knows what will happen in the future”.

This led to speculation over whether he was seeking a new longer-term contract beyond 2023 or he was upset Trent Alexander-Arnold had been given the captain’s armband for the Champions League group match with Midtjylland.

“We do not speak about deals – well, not with you (the media). Why should we start now?” said Klopp at his press conference ahead of Sunday’s game with struggling West Brom.

“Mo is in a good mood, always a good moment. He is in really good shape and that is the most important thing for me.

“We did not have pictures (from the training ground) this morning but if we did you would have seen him laughing, he enjoyed the session.

“All the rest is nice for all of you to write about but internally, no, nothing really.”

If Salah is unsettled it has not been reflected by his performances on the pitch this season.

He has scored 13 goals in as many league games, missing just one because of Covid-19 isolation.

It is his best start to a Premier League term, even better than his debut campaign when he went on to score 32 in 38 appearances having registered 12 goals at the same 14-match stage.

He came off the bench last Saturday to score a brace in the 7-0 thrashing of Crystal Palace.

“I think there are all these things to talk about: he didn’t start the last game, all the things I heard after about what could be the reason and then he came on and scored two,” said Klopp.

“I think in his first season he didn’t start against Stoke, came on and scored two. He obviously doesn’t need a long time.”

Klopp said he hoped his players would build on their lead over their rivals – they presently have a four point advantage over Leicester.

The Reds have a hectic schedule over the festive period with a home game with Newcastle next Wednesday and Southampton the following Monday.

“All the boys were in a good moment, that is why we have the points we have so far,” he said.

“Now it is much more important we really keep going. Everyone knows the toughest point of the season is now ahead of us.

“The Christmas period is always tough so we have to make sure we get through this with the right results.”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom