Can you please share the evidence??
Yeah.
So, kwa kuanzia, lets put it this way, ningependa niongee in general, but tukiiongelea LFC zaidi, yenyewe haijawahi kutoka official financial report kuhusiana na wages za wachezaji wake, na sidhani kama Clubs zingine zinafanya hivyo, because at the end of the day wages ni makubaliano binafsi kati ya mchezaji na club (employee na employer)..
Suala la wages/bonuses za wachezaji mara nyingi sana huwa zina-leak during negotiations (especially kwenye new deals/contract extension), na fee zinazo-leak zinawez kuwa za ukweli au uongo ili ku-put pressure kwa pande zote mbili, kwa mfano kwasasa kupitia negotiations zinazoendelea kuhusu GINI, tumejua kuwa analipwa 75k, hii kazi ya ku-leak huu mshahara imetoka kwenye camp ya Gini, sasa hatujui kama ni kweli, maana Camp ya Gini inachofanya ni kuipa pressure Club kupitia public sympathy, na ndiyo maana Club inashindwa kutoa maamuzi, kwasababu tayari camp ya upande wa pili ishawa-tight, so they have to come with a huge offer kwa public/LFC fans kuwaelewa, maanake tayari ishu imekuwa public (leaked), na Club haiwezi kutoa hadharani mkataba halisi wa mchezaji, kwasababu ya Club's privacy policy, ambayo inasimamiwa na FIFA.
So, unajuaje Wage bill ya Club, hizi financial sites zote huwa zinatumia approx-mation margins kwenye ku-determine wages za wachezaji, kwa kukusanya leaked datas, au kupata inside infos kutoka kwa Agent wa mchezaji husika, hence reports kuhusiana na wages za wachezaji huwa zinatofautiana kwenye kila site husika, mfano, tukija kwa Salah, kuna sites zinasema ana-pocket 200k p/w, zingine 220k p/w, zingine 230k p/w, so kama huna nia/hamu ya kufatilia/kufanya approx zako mwenyewe ni lazma utabeba datas za hizi sites.
Sasa, kujua Wage bill ya club, kwanza unaangalia policy yake pamoja na approach yake kwenye Transfer market, kwetu sisi, bado tupo kwenye sell to buy policy, ambayo basis yake ni ku-maintain our net spend kwa kila summer, the thing is, when FSG walivyokuja at the Club, kulikuwa na hali mbaya kiuchumi, and approach yao kuanzia mwanzo ilikuwa ni Club kujiendesha kwa pesa zake yenyewe, wao wasitoe pesa mfukoni, so wakaikopesha club, na mpaka leo wanaidai club (Kwa waliosoma ishu za Company laws, economics, BA etc wataelewa hili), so ina-generate its own money mostly, ikikwama FSG wanaikopesha tena, na ndiyo mana hata kwenye suala la VVD, FSG loaned the club some money, because Coutinho fee haikutosha ku-cover signs zote tatu za Keita/Alisson & VVD, sasa kwa sera yetu na the way tunavyo-operate hatutakiwa kwenda juu/kuzidi our financial status/line na ndiyo maana tunacheza sana na wages kuliko hata fees za kununua wachezaji.
Sasa, kwa structure kama hiyo unatakiwa ujue kuwa sisi ni Club ya aina gani, je tunaweza kumlipa mchezaji 250k-270k pamoja na bonuses? maana tukifanya hivyo itabidi FSG waikopeshe tena club, na ndiyo maana tunatumia hela nyingi sana kwenye signing fee na agent fees kuliko kwenye wages, maana tunalipa mishahara kutokana na pesa ambayo inakuwa generated kutoka kwenye financial office ya Club, juzi tu hapa FSG walikuwa wanataka ku-issue furlough scheme (unpaid leaves) kwa Club's stuff & employees kwasababu financial department ilikuwa imezidiwa, (kwasababu ya COVID) na hii ingefanya FSG waingie tena mfukoni ili ku-cover loses, sasa club yenye financial restrictions kama hii haiwezi ku-afford kulipa 250k-270k (pamoja na bonuses), na let me be clear, siyo kwamba hatuwezi per se but sera ndiyo inaibana club, na tumebaki nayo kwasababu imetupa mafanikio (sijajua in the long run)..
Currently volunteering kwenye football Agency company, katika department ya scout & data anaysis, so nimepata bahati ya ku-practice sports contracts zinavyokuwa, Ok, nilikuwa najua mfumo wake way back (international sports contracts), but now napata nafasi ya kuwa nayo na kuisoma sana kwaajili ya personal knowledge & research, na ndiyo maana hapo juu nikagusia sana kipengele cha BONUSES, hiki ndiyo kinachofanya negotiations nyingi sana zinakuwa ngumu au kuvunjika, kwasababu players (WC players) huwa wana-ask stupid money & stupid bonuses..Gini anacheza kama nunmber 10 or advance 8 akiwa na team ya Taifa na ndiyo natural position yake, at LFC anacheza kama 2nd holding CM/DM, unaweza ukakuta ukiachana na initial salary anayotaka, anadai bonuses kubwa sana ya kuchezeshwa nje ya his favourable position, na ukichukulia tayari ameshakuwa influential & important kwenye team.
Then, kuna suala la VVD, i've heard (you can do a simple research too), kuwa mkataba wake mpya atakao-sign atalipwa 220k p/w, tunarudi kule kule, hapa tunakuwa tumevunja kabisa our wage bill structure, na ndiyo maana hata aki-sign mkataba atakuwa tipped kama the most/highest paid LFC player in history, sasa now Club inaweza ikavunja his wage bill (we're not so sure yet, just early talks), kwa 220k, but again tunaambiwa kwenye sites zingine Salah analipwa hiyo 220k au 230k, then jiulize kama VVD anaenda kulipwa 220k p/w huko nyuma alikuwa analipwa sh.ngap?.
So, do the maths man.