King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,367
Teh teh teh Salah bhana eti ka mind kunyimwa ucaptain ile mechi ya mwisho UCL haha...
Na pia akasema wakija Real Madrid ama Barcelona atawasililiza haha huyu naona hamjui Klopp vyema amuulize Emre Can ama Lewandowski ataelewa kwa nini Klopp hapangiwi...
YNWA
Hii ni kweli? Source?

