Awarded a penalty which never was, poor refereeing by Andre Mariner and his VAR team
Away form is full of trash...Honestly, I don't think we don't deserve the EPL crown this term. Even if we'll win it miraculously somehow.
Haha je Hendo ile chance yake...
YNWA
















🏃🏃🏃Manapoona
Man City ana draw
Spurs ana draw
Chelsea anapigwa
Msije mkadhan nyie ni special sana
Mungu ni wetu sote
Hii Dunia ni ya wote
Maombi yangu yametimia,
Asante sana mwenyezi Mungu
Endelea kutenda miujiza hadi jumatano
Kampe nguvu SON Kama za samson ,akawapanue pale anfield Kama alivopanua mdomo wa simba
Wote tuseme Amina...!
Hendo bhana hivi pale alikosaji...Tumepoteza 2 big chances

Mkuu huu ujumbe ni vyema ungefikiaha kwa wahusika. Nadhani ungekuja na ushahidi mara yangu yamwisho kuingia hili jukwaa ni lini pia niambie ni lini nilikujia juu ulipokuja kwetu.Mnapenda sana kuingia nyuz nyingine ila mkisemwa kidogo tu kwenye ile nyuzi yenu mnakuwa wakali sana ifike hatua muwe mnajua maana ya Ushabiki.






Nimejaribu kukuambia yanayoendelea kwenye lile jukwaa lenu kiongoz tusi take serious sana haya mambo(hii ni burudani tu) .Mkuu huu ujumbe ni vyema ungefikiaha kwa wahusika. Nadhani ungekuja na ushahidi mara yangu yamwisho kuingia hili jukwaa ni lini pia niambie ni lini nilikujia juu ulipokuja kwetu.
Hahahaha wengine kama Shaqir hata sijui waliumia kwenye gemu ipi...Hii January hii
Must sell all biscuits player imetosha sasa.
Kwanz nilishangaa Divock kupewa mkataba mpya.Hahahaha wengine kama Shaqir hata sijui waliumia kwenye gemu ipi...
Tumejaza ma pancha mpaka basi...
YNWA
If I have to take any consolation for the LFC situation, it seems msimu huu kwenye hizi hatua za mwanzoni, ligi zote za Europe ni ngumu aisee.Honestly, I don't think we don't deserve the EPL crown this term. Even if we'll win it miraculously somehow.
Let's hope there's still a chance.Away form is full of trash...
Hesabu za ubingwa hua ni piga timu zote chini ya Big 4 tena mzunguko wa kwanza..
Lakini sasa tumekua ni timu ya sare ndugu...
Klopp sijui alishasahau kipigo cha Villa maana timu za kule chini wanakopi na kupasti kutupiga aisee ama kutuzuia na hakika wamefanikiwa sana tu Fulham, Brighton, Everton, Citizens nk...
Hii ni wake up call kwa Klopp na jopo lake sio kila gemu ni 4 3 3 especially unavyoona timu pinzani kucheza kama unit...
Hii gemu we deserved to lose kwa kweli Fulham were the better team...
YNWA
Naelewa lakini tutambue tunakutana humu hatujuani kila mtu anabackground yake so ukiona mtu anaporomosha mitusi wewe ignore ndicho nachofanya mimi. Kuna wachache wanafanya tunaonekana wote wapuuzi lakini hatuwezi kuacha jukwaa kwa sababu ya hao wachache ndio maana ikawekwa IGNORENimejaribu kukuambia yanayoendelea kwenye lile jukwaa lenu kiongoz tusi take serious sana haya mambo(hii ni burudani tu) .
Hahaha ana mkataba mpaka 2024 huyu Jurgen Klopp....Kwanz nilishangaa Divock kupewa mkataba mpya.
Bado nashangaa kuona Shaqir hakuuzwa agosti
Taendelea kushangaa kuwaona hawa watu Anfield, na naweza kuhitimisha kwa kusema Jürgen anataka kujitengenezea kanjia ka kufukuzwa
Bas kheri kiongozi kama tumeelewanaNaelewa lakini tutambue tunakutana humu hatujuani kila mtu anabackground yake so ukiona mtu anaporomosha mitusi wewe ignore ndicho nachofanya mimi. Kuna wachache wanafanya tunaonekana wote wapuuzi lakini hatuwezi kuacha jukwaa kwa sababu ya hao wachache ndio maana ikawekwa IGNORE