King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Minamino kaingia nauhai
You're right
Minamino kaingia nauhai
Never! Labda km inegekuw dakika ya 60
Sawa. Lakini sio kwa mchezo huu nauona.Never say never

Labda amalizie muda ulobakiOrigi lakini anajua kaingizwa afanye nini?
Mnapenda sana kuingia nyuz nyingine ila mkisemwa kidogo tu kwenye ile nyuzi yenu mnakuwa wakali sana ifike hatua muwe mnajua maana ya Ushabiki.Hii ndio Liverpool tunayo aminishwa ni tittle contender. Ila sina imani kama Fulham wataendeleza hii form kipindi cha pili
Injuries ndiyo our main obstacle tusichukue Ubingwa Msimu huu