Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bwana huu ndogo tatizo yupo direct mno yaaani aafu habadiliki kamwe injury zake zipo almost uniform...

Anahitaji malaika wamlinde maana bado tuna changamoto ya goli nje ya kumi na nane na kwa sasa ndio mchezaji pekee mwenye udhubutu wa shooting those long range goals...

YNWA

The likes of Steven Gerrard, Scholes, Lampard and Ballack waliokuwa na utamaduni wa kushot out of 18yards ni vigumu sana kutokea tena kwa zama hizi.

Sasa tuna watu wa tap-in
 
Nimepata tetesi Mane na firmino wamepigana kwenye training..
Kuna aliesikia hii au uzushi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom