Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Sure man ipo open ile dhana anaeongoza ligi Krismasi ndio bingwa in waiting naona msimu huu haipo tena...The tittle race is now for many not the just two
YNWA
Sure man ipo open ile dhana anaeongoza ligi Krismasi ndio bingwa in waiting naona msimu huu haipo tena...The tittle race is now for many not the just two
Surely we are not going to see that Christmas rule this seasonSure man ipo open ile dhana anaeongoza ligi Krismasi ndio bingwa in waiting naona msimu huu haipo tena...
YNWA
Ndio maana huwezi kuacha PUNYETO.Eeeeh mwenyezi Mungu
Fanya fanya hawa Liverpool Leo wafungwe au wapate draw, ikiwezekana wapoteze point 3 kabisa
Tazama namna wanavo Press kwa nguvu, huku wakitaka kuchukua epl mara mbili mfululizo huku kuna wengine hawajachukua hata mara moja
Tazama Kama Arsenal anavopata tabu,
Naomba haya yote kwa jina la baba,mwana na roho mtajatifu .amina
Wape fulham nguvu uliyowapa Aston Villa ili wakafanye Kama mapenzi yako
Kwa hiyo Jota kaumia nae tena? Daaah kwani tatizo hasa la injuries pale Anfield ni nini hasa?
Swala ni mazoezi magumu wanayopewa wachezaji? Au ni kuwa na madaktari wabovu hasa wa viungo na mazoezi? Kuna shida mahali hata kama tunasema wachezaji wanaumia kutokana na kucheza mechi nyingi bila rotation hii sio kweli. Kwani hata wachezaji ambao wameingia kwenye kikosi bado wanakumbwa na matatizo kama haya. THERE IS A PROBLEM AT LIVERPOOL.View attachment 1648850
Sent from my Infinix X608 using JamiiForums mobile app
😅😅😅Ndio maana huwezi kuacha PUNYETO.
Pole sana mkuuNdio maana huwezi kuacha PUNYETO.
Karibu sana Bro,Hello!
Nimeamua kuwatag wale Active members wote wa hii Thread kutambulisha hii ID yangu.
I'm KING NGWABA nimeamua kuja na hii ID ambayo ilikuwa Dormant kwa miaka Zaid ya Mitano tokea niitengeneze May 2015 ni sikuwa nikiitumia.
Nimefanya uamuzi huu baada ya Wiki kadhaa Sasa kushindwa kuingia JF kupitia Akaunti yangu halisi ya King Ngwaba na nimeshindwa kujua sababu ni nini.
Nimejaribu kwenye simu zaidi ya 5 nimeshindwa, nimejaribu kwenye Computer nako nimeshindwa, nahisi VPN nilizokuwa natumia kuna nyengine zilikuwa zinaiba na kublock Account za watu.
So, nimekuja na ID hii as King Ngwaba
Penison
Captain Marvelous
Masamila
DullyJr
zumbemkuu
Don Clericuzio
Baba Swalehe
Manga ML
BARDIZBAH
BAKOI
nguvu
Bengalisis
Pamoja sana mwamba na karibu sanaHello!
Nimeamua kuwatag wale Active members wote wa hii Thread kutambulisha hii ID yangu.
I'm KING NGWABA nimeamua kuja na hii ID ambayo ilikuwa Dormant kwa miaka Zaid ya Mitano tokea niitengeneze May 2015 ni sikuwa nikiitumia.
Nimefanya uamuzi huu baada ya Wiki kadhaa Sasa kushindwa kuingia JF kupitia Akaunti yangu halisi ya King Ngwaba na nimeshindwa kujua sababu ni nini.
Nimejaribu kwenye simu zaidi ya 5 nimeshindwa, nimejaribu kwenye Computer nako nimeshindwa, nahisi VPN nilizokuwa natumia kuna nyengine zilikuwa zinaiba na kublock Account za watu.
So, nimekuja na ID hii as King Ngwaba
Penison
Captain Marvelous
Masamila
DullyJr
zumbemkuu
Don Clericuzio
Baba Swalehe
Manga ML
BARDIZBAH
BAKOI
nguvu
Bengalisis
Pamoja sana.Hello!
Nimeamua kuwatag wale Active members wote wa hii Thread kutambulisha hii ID yangu.
I'm KING NGWABA nimeamua kuja na hii ID ambayo ilikuwa Dormant kwa miaka Zaid ya Mitano tokea niitengeneze May 2015 ni sikuwa nikiitumia.
Nimefanya uamuzi huu baada ya Wiki kadhaa Sasa kushindwa kuingia JF kupitia Akaunti yangu halisi ya King Ngwaba na nimeshindwa kujua sababu ni nini.
Nimejaribu kwenye simu zaidi ya 5 nimeshindwa, nimejaribu kwenye Computer nako nimeshindwa, nahisi VPN nilizokuwa natumia kuna nyengine zilikuwa zinaiba na kublock Account za watu.
So, nimekuja na ID hii as King Ngwaba
Penison
Captain Marvelous
Masamila
DullyJr
zumbemkuu
Don Clericuzio
Baba Swalehe
Manga ML
BARDIZBAH
BAKOI
nguvu
Bengalisis
Wewe dogo acha mawengeHello!
Nimeamua kuwatag wale Active members wote wa hii Thread kutambulisha hii ID yangu.
I'm KING NGWABA nimeamua kuja na hii ID ambayo ilikuwa Dormant kwa miaka Zaid ya Mitano tokea niitengeneze May 2015 ni sikuwa nikiitumia.
Nimefanya uamuzi huu baada ya Wiki kadhaa Sasa kushindwa kuingia JF kupitia Akaunti yangu halisi ya King Ngwaba na nimeshindwa kujua sababu ni nini.
Nimejaribu kwenye simu zaidi ya 5 nimeshindwa, nimejaribu kwenye Computer nako nimeshindwa, nahisi VPN nilizokuwa natumia kuna nyengine zilikuwa zinaiba na kublock Account za watu.
So, nimekuja na ID hii as King Ngwaba
Penison
Captain Marvelous
Masamila
DullyJr
zumbemkuu
Don Clericuzio
Baba Swalehe
Manga ML
BARDIZBAH
BAKOI
nguvu
Bengalisis
Labda wanaumizana makusudi ili wengine wapate nambaKwa hiyo Jota kaumia nae tena? Daaah kwani tatizo hasa la injuries pale Anfield ni nini hasa?
Swala ni mazoezi magumu wanayopewa wachezaji? Au ni kuwa na madaktari wabovu hasa wa viungo na mazoezi? Kuna shida mahali hata kama tunasema wachezaji wanaumia kutokana na kucheza mechi nyingi bila rotation hii sio kweli. Kwani hata wachezaji ambao wameingia kwenye kikosi bado wanakumbwa na matatizo kama haya. THERE IS A PROBLEM AT LIVERPOOL.View attachment 1648850
Sent from my Infinix X608 using JamiiForums mobile app
Wewe dogo acha mawenge