Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Baada ya kikosi kilichopangwa jana kushindwa kutupa matokeo, nimeshtuka kidogo kuhusu mbio za ubingwa na majeruhi zinazotuandama.

Naomba Mungu majeruhi yasiongezeke aisee, maana hali ya backline inaweza kuwa tete zaidi.

Robbo, Matip, Fabinho are expendables for now. I hope TAA and Henderson are recovering soon.

Mbio za EPL ni ndefu.
 
Baada ya kikosi kilichopangwa jana kushindwa kutupa matokeo, nimeshtuka kidogo kuhusu mbio za ubingwa na majeruhi zinazotuandama.

Naomba Mungu majeruhi yasiongezeke aisee, maana hali ya backline inaweza kuwa tete zaidi.

Robbo, Matip, Fabinho are expendables for now. I hope TAA and Henderson are recovering soon.

Mbio za EPL ni ndefu.
Mutaendelea kubamizwa tu hakuna namna.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nimekaa nasubiri vile virekodi vyako mkuu, dhidi ya atalanta naona kimyaaaaaaaaaaaa

Takwimu hizo hapo mkuu nimekuwekea au unamaanisha takwimu gani?.
Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg
 
Inaonekana Liverpool wameamua kutomuongezea mkataka Wijnaldum na anaweza kuondoka kama free agent next summer.

Kwa kazi anayoifanya msimu huu, natamani isiwe hivyo aisee. Maana viungo wenyewe hawa kina Thiago, Keita na Henderson sasa hivi muda mwingi wako vitandani.

 
Graham Potter fanya wikiendi yetu iwe vizuri..

Mkishinda na leo nitaamini majeruhi sio kitu kwa hawa scoosers
 
Graham Potter fanya wikiendi yetu iwe vizuri..

Mkishinda na leo nitaamini majeruhi sio kitu kwa hawa scoosers

Tutashinda hii, halafu utakuja mechi nyingine tena kutuwekea kipimo.

Tariq Lamptey hayupo leo, ni dogo nayependa kutazama game yake kwa madogo wa EPL aisee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom