Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Team Updates:

Henderson leo yuko fit baada ya kufanya mazoezi jana.

TAA, Thiago, Keita, Ox Chamberlain na Shaqir bado ni majeruhi.

Utabiri wa kikosi:

Golini - Alisson

Beki - Neco Williams, Robertson, Matip na Fabinho.

Viungo - Henderson, Wijnaldum

Forwards - Jota, Firmino, Salah na Mane.

NB: Jones na Milner mmoja kati yao anaweza kuanza kutegemea na mahitaji ya hii mechi.

Sadio Mane kuna uwezekano wa kupumzishwa pia aingie kipindi cha pili, kwa ajili ya game ijayo ya UEFA (huyu alicheza dakika zote game ya Atalanta).
 
Tutashinda hii, halafu utakuja mechi nyingine tena kutuwekea kipimo.

Tariq Lamptey hayupo leo, ni dogo nayependa kutazama game yake kwa madogo wa EPL aisee.
Huyu dogo yuko poa sana..hivi Chelsea wamemuuza jumla..Bayern pia wanamtaka
 
Huyu dogo yuko poa sana..hivi Chelsea wamemuuza jumla..Bayern pia wanamtaka

Chelsea wameuza jumla kwa kiasi cha £3m.

Niliona hii ya Bayern off-season, nadhani wanaweza kumchukua msimu ujao, sema jamaa ni wagumu kutoa hela ndefu.
 
Team Updates:

Henderson leo yuko fit baada ya kufanya mazoezi jana.

TAA, Thiago, Keita, Ox Chamberlain na Shaqir bado ni majeruhi.

Utabiri wa kikosi:

Golini - Alisson

Beki - Neco Williams, Robertson, Matip na Fabinho.

Viungo - Henderson, Wijnaldum

Forwards - Jota, Firmino, Salah na Mane.

NB: Jones na Milner mmoja kati yao anaweza kuanza kutegemea na mahitaji ya hii mechi.

Sadio Mane kuna uwezekano wa kupumzishwa pia aingie kipindi cha pili, kwa ajili ya game ijayo ya UEFA (huyu alicheza dakika zote game ya Atalanta).
RB angecheza Milner na Hendo atulie nafasi yake acheze Jones...

Naamini hii gemu ushindi upo ila kikosi kisiwe cha majaribio ndugu...

Mane aanze acheze dakika 60 kama ushindi utakua umepatikana apumzike...

Leo hii gemu sio ya draw wala kufungwo ni ushindi tu...

YNWA
 
Tusijeluambiwa Matip majeruhi tena

Matip na Mane wamepumzishwa tu, nadhani kwa sababu ya game ijayo.

Screenshot_20201128-143852.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom