Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I said it once line up announced
It was something f***k on history
You need to qualify then you select those f***k guys!!
Reco, Orig, Tsim, Rhys and Jones were too bad
 
Mashabiki panueni KY haipo lakini

Mkuu tafuta dawa, bado hujapona.

Habari zenu wakuu?
Natumaini ni wazima wa afya naombeni ushauri kuhusu hili japo ni msichana ambaye nilianza nae uhusiano toka mwaka Jana mwezi wa 8.
Mahusiano yetu yalikuwa mazuri sana na upendo ulionekana kuwepo kwa wote
Tatizo lilianza mwezi wa 11 mwanzoni afya yake ya akili ilipata hitrafu kidogo akawa ni mtu wa kuvua nguo na kuongea yasiyoeleweka .

Jitihada za kumtibu zilifanyika na akaonekana kupona ila toka amepona amekuwa haeleweki Leo mnaweza ongea nae vizuri kesho anakuwa tofauti majibu yanakuwa ya mkato mkato tu yaani kiufupi hasomeki.
Naombeni msaada wa kimawazo ndugu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi lugha zinakamilisha utafiti "katika watu watano wawili wanapitia matatizo ya afya ya akili" ndg changamka utapata ulemavu wa kudumu wa akili.

Kuna Forum huwa ni member inaitwa RealGM, nilijiunga kwa sababu ya kufatilia Basketball (NBA), aisee jamaa ni wastaarabu balaa.

Utani upo lakini hukuti matusi wala kukoseana adabu, na hawaendi nje ya topic. Nikisoma threads huko, huwa naelewa kweli sisi kama taifa tuna hali mbaya sana kuja kustaarabika.
 
Hizi lugha zinakamilisha utafiti "katika watu watano wawili wanapitia matatizo ya afya ya akili" ndg changamka utapata ulemavu wa kudumu wa akili.
Ulichoandika inaonyesha imekuuma sana kujua kuwa tumejua umeliwa
 
Adjustments.jpg
 
Liverpool uhakika wa kusonga hatua ya last 16 mara nyingi tunao but If I'm not wrong huu ni msimu wa 3 mfululizo tunakuaga katika pressure kubwa ya kuvuka hatua ya Makundi kwa sababu kama za jana zisizoeleweka.

Nilijiaminisha kuwa this season tumeshaondokana na ile situation ya do or die kuqualify next round but sio rahisi kivile.

Jana tulipaswa kupanga Mtiti wetu kamili ili tusonge mbele, hakukuwa na haja ya kubeti matokeo.

Anyway, ushindi wa next game unatosha kutufanya tusonge mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom