Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Poa mkuu, hiyo itakua ni kabla ya vijana wa Frank Lampawize kukutoa hapo kileleni mapema kesho
sijawahi kujua km ukishinda derby unapata point5!!!
Yan leo nachukua point3, naongoz league kwa point 5 dhidi ya Chelsea, alafu ashinde kesho aje juu
 
Neco Williams analaumiwa lakini tukumbuke kuwa hakujipanga bali amepangwa.

Kuhusu uwezo wake mimi sina shaka nao! Lakini bado ni mdogo sana kupewa viatu vya EPL, hata hivyo ndiyo anapata uzoefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom