Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kwa line up ya leo, sina tumaini kabisa
Najiuliza why Fabinho, Jota waanzie sub!?
Hii mechi jamaa wanakufa mapema tu, binafsi sina wasiwasi nayo.
Liverpool haina mchezaji mbovu.
Kwa line up ya leo, sina tumaini kabisa
Najiuliza why Fabinho, Jota waanzie sub!?
Silijui hili nijulishe anakua nani?Naamin Utakuwa umewahi kucheza mpira au labd unacheza kwa sasa maana sijui umri wako. Unafahamu Kwamba Joel matip anapokuwa kwenye 18 ya adui hatumuhesabii Kwamba ni beki??? Ukilijua Hili nitaendelea vizuri kukuelewesha kuhusu firmino
Nnashaka watajiuliza mechi iwe ngumuHii mechi jamaa wanakufa mapema tu, binafsi sina wasiwasi nayo.
Liverpool haina mchezaji mbovu.
Acha tuone, dakika chache tu game inaanzaHii mechi jamaa wanakufa mapema tu, binafsi sina wasiwasi nayo.
Liverpool haina mchezaji mbovu.
Haya maneno nimemsikia Ian Wright anayasema pia...Boby kazibyake kubwa ni kuunganisha team kufunga ni ziada tu
Acha tuone, dakika chache tu game inaanza
Haya maneno nimemsikia Ian Wright anayasema pia...
NmechekaLiverpool hata nikipangwa mimi, tutashinda game, ila nisiwekwe golini.
Naweza kutoka sijagusa mpira hata mara moja na tukawa tumeshinda.
Kuwa na imani mkuu.
Hata ukiangalia uchezaji wake unajua tu nimbinu za Klopp tu kumpanga namba tisa asili yake sio mshambuliaji wa mwisho asiliyake ni namba kumiHaya maneno nimemsikia Ian Wright anayasema pia...
Binafsi naona kama kiwango kimeshukaNini maoni yako juu ya hilo?
Liverpool hata nikipangwa mimi, tutashinda game, ila nisiwekwe golini.
Naweza kutoka sijagusa mpira hata mara moja na tukawa tumeshinda.
Kuwa na imani mkuu.





Rhy WilliamsNo. 46 mgongoni. Van dyk in the making
Binafsi naona kama kiwango kimeshuka
Lakini kocha anajua zaidi...
So anapo mpanga tuvumilie..
Ndo maana alimjibu Caragher .. wewe sio kocha..
Kijana ameshuka sana. Hilo halina ubishi.Klopp somo limeshamwingia, anajaribu kutompa pressure Firmino ila anakubali kwamba jamaa ameshuka.
Tukisema kazi yake siyo kufunga, tutatakiwa kuambiwa labda ni kutengeneza nafasi za magoli na kutoa assists, hivyo vyote vimepungua. Level ya kupoteza possession imeongezeka, level ya kukosa magoli imeongezeka (clear chances).
Kwa yeyote aliyeitazama mechi ya Leicester, atakubaliana na mimi kwamba Firmino amerudi kuweka jitihada za kurudisha makali yake baada ya competition kutoka kwa Jota. Alikuwa so relaxed, na haya maneno ya Klopp pia yanachangia kutowajambisha wachezaji.
Origi yupo kwa ajili mechi kama hizi haha case study vs Everton, vs Bavarians...Kijana ameshuka sana. Hilo halina ubishi.
Hana usongo tena wa kufunga, alijua hana mpinzani maana akina Divok nao ndio balaa tupu
Utaona leo km Divok atafanya la maana! Labda itokee bahati tu