Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe timu yako isubiri ubingwa wa EPL pale Klop na Pep watakapokuwa wamesepa
Mnatumia nguvu kubwa sana kucheza hiyo gengen press yenu ndio maana majeruhi yanawakabili kwa wingi.
Ili mshinde taji lingine,lazima Klopp asajili kikosi kizima akiandae kwa ajili ya kugombea taji 2025 huko.
Sikuwahi kujua kama liverpool wana mashabiki wenye kelele hivi,soon mnarudi mafichoni alikowatoa Klopp.
 
Mnatumia nguvu kubwa sana kucheza hiyo gengen press yenu ndio maana majeruhi yanawakabili kwa wingi.
Ili mshinde taji lingine,lazima Klopp asajili kikosi kizima akiandae kwa ajili ya kugombea taji 2025 huko.
Sikuwahi kujua kama liverpool wana mashabiki wenye kelele hivi,soon mnarudi mafichoni alikowatoa Klopp.
Mbona lestercity wana majeruhi sawa na sisi na wao nguvu zimezidi?
 
Ha ha haaaa hii ndo sababu uliomba asije Liver sasa ndo nimekuelewa mana ni bora uwe na mbovu anae cheza kuliko mzuri asie cheza
Bwana wee huyu Thiago mpaka sasa amecheza dakika 135 tu tangu ametua ikianza Covid aafu akaja umia goti ndio mpaka sasa fitness yake imekua ishu hopefully Jumapili atakua amepass fitness test ...

Ni kweli concern yangu ilikua mikiki ya EPL ata survive vipi na hostoria yake ya majeruhi yakujirudia... naamini huyu akipona atumike zaidi kama super sub na sio serial starter..

Tulimuachia Clyne, tukamuuza Lovren wote bila kuleta back up ya maana huku tukitegemea Babu Milner na Fabby watacheza kama back up sasa tupo kwenye kipindi tata kweli kweli...

Hizi gemu zilizobaki sijui mfumu upi tutatoka salama aisee 4 2 4 au 4 2 2 2 au 4 4 2 kazi ipo maana kwa 4 3 3 sioni wachezaji waliopo tukitoka salama Milner na Keita ni wazito sana kuchangamka ni hio 4 3 3...

YNWA
 
Inanikumbusha Vin alivyoodoka Manchester City wakajikuta katika hali kama hii...

Gemu zifuatavyo ni ngumu kwetu kwa hali tuliyonayo pale nyuma..
Vs Leicester
Vs Wolverhampton
Vs Crystal
Vs Tottenham.
Vs Ajax
Vs Atalanta
Vs Newcastle.

Tunahitaji malaika walinzi wawalinde vijana wetu wasiumie tena kwa kweli..

YNWA
Ni mechi za Liver kukabidhi kombe mchana kweupe
 
EPL tutashinda game zote, UEFA tunahitaji points chache makundi.
Kwani majeruhi ni sisi tu au?

Au ni vile benchi letu ni dhaifu?

Natamani sana kutumia browser ila tabu nipale unapotaka kurudi vumilivu unanishinda page hadi page.
Kama kuna namna sijui nisaidie hili
 
Kwani majeruhi ni sisi tu au?

Au ni vile benchi letu ni dhaifu?

Natamani sana kutumia browser ila tabu nipale unapotaka kurudi vumilivu unanishinda page hadi page.
Kama kuna namna sijui nisaidie hili

Browser huna ujanja wa kukwepa pages, walau ufanye settings ya 40 posts per page.

Liverpool pamoja na majeruhi, bado sijaona wa kutunyanganya ubingwa.

Siyo City Wala Chelsea. Isipokuwa injuries imetengeneza kitu tunaita parity, in a sense kwamba tutachukua ubingwa kwa kupishana kidogo na hizi timu tulizoziacha kwa points nyingi last time.
 
Browser huna ujanja wa kukwepa pages, walau ufanye settings ya 40 posts per page.

Liverpool pamoja na majeruhi, bado sijaona wa kutunyanganya ubingwa.

Siyo City Wala Chelsea. Isipokuwa injuries imetengeneza kitu tunaita parity, in a sense kwamba tutachukua ubingwa kwa kupishana kidogo na hizi timu tulizoziacha kwa points nyingi last time.
Kabisa Klopp awaminishe tu vijana tunaweza tukazishukuru hizi maana kukomaa na team moja misimu minne ni ngumu lazima uchanganye dam kuipa nguvu mpya
 
Browser huna ujanja wa kukwepa pages, walau ufanye settings ya 40 posts per page.

Liverpool pamoja na majeruhi, bado sijaona wa kutunyanganya ubingwa.

Siyo City Wala Chelsea. Isipokuwa injuries imetengeneza kitu tunaita parity, in a sense kwamba tutachukua ubingwa kwa kupishana kidogo na hizi timu tulizoziacha kwa points nyingi last time.
Mtapigwa mpka mchakae msimu huu.
Amini Kwamba..
 
Browser huna ujanja wa kukwepa pages, walau ufanye settings ya 40 posts per page.

Liverpool pamoja na majeruhi, bado sijaona wa kutunyanganya ubingwa.

Siyo City Wala Chelsea. Isipokuwa injuries imetengeneza kitu tunaita parity, in a sense kwamba tutachukua ubingwa kwa kupishana kidogo na hizi timu tulizoziacha kwa points nyingi last time.
Mechi nane out of 38 ushasema nyie ni bingwa aisee timu zinazidiana Point moja moja


Table inapinduka, kila Weekend
 
Mbona lestercity wana majeruhi sawa na sisi na wao nguvu zimezidi?

Nafasi anayoitaka Leicester City (Top 4) sisi hatuhitaji nguvu nyingi kuifikia.

Kwahiyo lazima ujue kuwa sisi na Leicester tumetofautiana malengo.

Lesta anapigana apate Top 4
Liver anapigana apate Ubingwa.

Hivyo sisi lazima tulie na kusaga meno hatuwezi kuwa Comfortable kama Lesta.

Sawa, Origi, Xhaqir, Minamino, Tsimikas, Williams, Phillips, Jones, unaweza kuwapa nafasi kwa ajili ya kupambania Top 4, Lakini huwezi kupambania Ubingwa kwa Wachezaji hao.

Kwahiyo kuwakosa wachezaji wetu wa kupambania Ubingwa lazima tulie tu.
 
Nafasi anayoitaka Leicester City (Top 4) sisi hatuhitaji nguvu nyingi kuifikia.

Kwahiyo lazima ujue kuwa sisi na Leicester tumetofautiana malengo.

Lesta anapigana apate Top 4
Liver anapigana apate Ubingwa.

Hivyo sisi lazima tulie na kusaga meno hatuwezi kuwa Comfortable kama Lesta.

Sawa, Origi, Xhaqir, Minamino, Tsimikas, Williams, Phillips, Jones, unaweza kuwapa nafasi kwa ajili ya kupambania Top 4, Lakini huwezi kupambania Ubingwa kwa Wachezaji hao.

Kwahiyo kuwakosa wachezaji wetu wa kupambania Ubingwa lazima tulie tu.
Nimekupata vyema.

Sioni namna ya kutoboa kama ni lazima kupata majeruhi basi bora tungepata wa mbele na si mabeki.
Watoto wanaeza kua wazuli lakini bila mzoefu ni janga tu.
 
Nimekupata vyema.

Sioni namna ya kutoboa kama ni lazima kupata majeruhi basi bora tungepata wa mbele na si mabeki.
Watoto wanaeza kua wazuli lakini bila mzoefu ni janga tu.

Juu ya kuwa tuna majeruhi lakini Timu nyengine ni dhaifu kuliko sisi that's why sina wasiwasi.

Mimi shehemu moja tu ikipita majeruhi ndiyo huwa sina amani tena! Guess whom?

Ni ALISSON BECKER.

Mpaka leo ninaamini kuwa Kama ALISSON asingeliumia na angesimama golini kwenye Mechi ya Aston Villa na Everton basi zile mechi tungelishinda mchana kweupeeee.

Haiwezekani tutoe Draw na City ndani ya Etihad then tushindwe kumfunga Everton au tufungwe goli 7 na Aston Villa! Never Never Never Never!

Kitu pekee nilichogundua Washambuliaji wakimkuta Adrian huwa wanakuwa na Uchu wa kujaribu hata nje ya Box that's why Villa walikuwa wakifika nje ya 18 wanaachia golini wanajua utababatiza japo mabeki na kuingia golini.

Na siku ya mechi yetu na City golini angekuepo Adrian nakuhakikishia tungeoga mvua ya magoli.

Hata zijengwe hoja gani za kumlinda Adrian basi kwangu mimi namuhesabu kuwa alituchomesha tu.

Kwahiyo kuumia kwa BECKER kwangu mimi ni tatizo, lakini kwa mchezaji mwengine yeyote basi kwangu hata sina pressure ya Ubingwa! Na ndiyomana hata VVD alipoumia basi sikutetereka najua Alison Becker atasimama on behalf of VVD.

Sababu inayonipa ujasiri sio kwamba tuna Timu nzuri baada ya majeruhi!!! Ni kwamba wengine wapo dhaifu kuliko sisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom