Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

majeruhi wa leicester wanasababishwa na kucheza muda mwingi sababu ya ufinyu wa kikosi,tofauti na liverpool wanaotumia nguvu kubwa
Mbona lestercity wana majeruhi sawa na sisi na wao nguvu zimezidi
 
Juu ya kuwa tuna majeruhi lakini Timu nyengine ni dhaifu kuliko sisi that's why sina wasiwasi.

Mimi shehemu moja tu ikipita majeruhi ndiyo huwa sina amani tena! Guess whom?

Ni ALISSON BECKER.

Mpaka leo ninaamini kuwa Kama ALISSON asingeliumia na angesimama golini kwenye Mechi ya Aston Villa na Everton basi zile mechi tungelishinda mchana kweupeeee.

Haiwezekani tutoe Draw na City ndani ya Etihad then tushindwe kumfunga Everton au tufungwe goli 7 na Aston Villa! Never Never Never Never!

Kitu pekee nilichogundua Washambuliaji wakimkuta Adrian huwa wanakuwa na Uchu wa kujaribu hata nje ya Box that's why Villa walikuwa wakifika nje ya 18 wanaachia golini wanajua utababatiza japo mabeki na kuingia golini.

Na siku ya mechi yetu na City golini angekuepo Adrian nakuhakikishia tungeoga mvua ya magoli.

Hata zijengwe hoja gani za kumlinda Adrian basi kwangu mimi namuhesabu kuwa alituchomesha tu.

Kwahiyo kuumia kwa BECKER kwangu mimi ni tatizo, lakini kwa mchezaji mwengine yeyote basi kwangu hata sina pressure ya Ubingwa! Na ndiyomana hata VVD alipoumia basi sikutetereka najua Alison Becker atasimama on behalf of VVD.

Sababu inayonipa ujasiri sio kwamba tuna Timu nzuri baada ya majeruhi!!! Ni kwamba wengine wapo dhaifu kuliko sisi.
Mabeki ndo kila kitu pamoja na uzuli wake beki ndo muhimu
 
Ila mimi binafsi nikiona mane hajaumia huwa naona hii game tunaiweza, jamaa naona kama ni beki, mido, na foward all in one.
 
Adjustments.jpg
 
Alachuga ondoa ushabiki Jota na Wener nani mkali kwako.


Mimi kabla ya usajili nilimkataaga si kwamba ni mbovu bali ilisemwa ataingia kwenye front 3 yetu.

Kwa hili ondoa utani kwa muda
Werner ni mashine ya kazi ..huyu Jota bado sana mkuu ..ana mengi ya kujifunza kwa Werner.

Tukiweka ushabiki pembeni, Werner anamwacha mbali sana Jota.

Jota ana uzoefu na epl kuliko Werner lakini haiondoi ukweli Kwamba Werner is better than Jota.
#CFC
timo_werner-vs-jota.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom