Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Niliwahi kusema hapa ya kwamba masuala ya kuuza wachezaji huku hatujasajili ni kitu ambacho binafsi huwa sikubalini nacho na sikiungi mkono kabisa, Lovren pamoja na upuuzi wake kipindi hiki angetufaa sana
Nafikiri Lovren alikuwa mbadala mzuri sana kila mnapomhitaji maana Matip spana mkononi Joel Gomez tia maji tia maji
 
Mkuu na yeye mwenyewe Saizi angekuwa pancha tu.
Inanikumbusha Vin alivyoodoka Manchester City wakajikuta katika hali kama hii...

Gemu zifuatavyo ni ngumu kwetu kwa hali tuliyonayo pale nyuma..
Vs Leicester
Vs Wolverhampton
Vs Crystal
Vs Tottenham.
Vs Ajax
Vs Atalanta
Vs Newcastle.

Tunahitaji malaika walinzi wawalinde vijana wetu wasiumie tena kwa kweli..

YNWA
 
Nina matumaini makubwa madogo Rhy Williams, Nat Phillips na Neco Williams watatupitisha salama kwenye kipindi hiki kigumu
Inanikumbusha Vin alivyoodoka Manchester City wakajikuta katika hali kama hii...

Gemu zifuatavyo ni ngumu kwetu kwa hali tuliyonayo pale nyuma..
Vs Leicester
Vs Wolverhampton
Vs Crystal
Vs Tottenham.
Vs Ajax
Vs Atalanta
Vs Newcastle.

Tunahitaji malaika walinzi wawalinde vijana wetu wasiumie tena kwa kweli..

YNWA
 
Nina matumaini makubwa madogo Rhy Williams, Nat Phillips na Neco Williams watatupitisha salama kwenye kipindi hiki kigumu
Kwa Trent A tutakosa mashambulizi upande ule kwani Milner au Neco kwenye zile klosi kali kali hatutapata...

Otherwise kati pale kwa Williams na Nats watapambana aisee maana kuanzia Mechi ya Leicester tuna mechi 12 mpaka mapema Januari 2021.. Hapo ndio pengine usajili kama watanunua utakua umefanyika.

YNWA
 
Baada ya kuumia Clyne TAA alipewa nafasi anaitumia vyema.
Aliumia Moreno Robbo alipewa nafasi akaitumia vyema.

Sasa hawa Phillips na Williams kwenye Kipindi hichi cha Bundi wa Majeruhi hii ndiyo Golden Chance yao.
Wakicheza Vizuri karata zao basi watakuwa new TAA na ROBBO.
Wakizembea kipindi hichi basi wajiandae kupelekwa kwa Mkopo Championship.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom