Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I feel sorry for this man aisee. Hana shot on target wala hajatengeneza any chance!
20201108_222050.jpg
 
City alipewa penalti baada ya Gomez kunawa kwa box, lakini beki wa city kanawa kwenye box hata VAR hajawekwa, haya mambo ya mareferee siyo bongo tu hata ulaya yapo, ile ngoma angekuwa ni liverpool VAR ingesomwa na tungepigiwa penalti
mechi ya marudio tutawapiga goli za kutosha hao na everton.
 
Nikiangalia Misimu miwili iliyopita ndani ya Etihad tumepoteza Mfululizo.

2018/19
Man City 2 - 1 Liverpool

2019/20
Man City 4 - 1 Liverpool

But:
2020/21
Man City 1 - 1 Liverpool

Hii ina kila dalili ya kuwa either tumeboreka au Man City ameisha zake.
 
Sure. His current crippled form demands him to warm the bench.
The good side now is that Salah and Mane ain't feeling the over demands for them to score when Bobby not firing... Our new kid Jota has embraced scoring opportunities that has arised and won very important points...

Pep without Laporte they lost and lost and lost mpaka ubingwa last season..

Us without our influential VVD we are winning points that what really matters..

This draw today is proper statement where we are as a team and man am impressed we are heading in the right direction...

When we play as a unit we are unstoppable for real....

Now the front guys need to be lethal and clinical especially vs the top side chance lost is a point lost..

Viva Klopp Viva boys...

May TAA, Thiago and Fabby get better by the time we play Leicester after the international break...

YNWA
 
Nikiangalia Misimu miwili iliyopita ndani ya Etihad tumepoteza Mfululizo.

2018/19
Man City 2 - 1 Liverpool

2019/20
Man City 4 - 1 Liverpool

But:
2020/21
Man City 1 - 1 Liverpool

Hii ina kila dalilllllll
Livapuu tuko vzuri kwa kiasi kikubwa Big man

Sema tu klopp aache loyalty za kipumbavu

Ile desire Ya wachezaji imerudi kwa kiasi kikubwa na hio ndo ngao yetu

I love this team mani mi nko bado nacheki highlight apa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom