Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,852
Ustumie nguvu nyingi kubishana na wajinga mi nkishaonaga mtu ni mpumbavu sijibishani Kuna fan mmoja kantafta tsup kinaanza kujitetea about Jota nmeki blue tick tuUnavyosema hataweza unatumia hoja gani haswa? Na mbona hivi sasa tayari keshawekwa benchi?
Jota mpaka sasa tunapoongea, kafunga magoli saba (07).
Kwenye ligi tu kati ya appearance tano ambazo kati yake kaingia sub mara tatu, tayari ana goli 3.
Kwenye UEFA mechi tatu goli 4!
Serious? Awekwe benchi na Bobby ambaye mpaka sasa ameanza na kucheza mechi saba za EPL akiwa na goli 1. UEFA mechi tatu hamna goli hata moja?

.

