Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 955
- 1,314
Daa! Yaani nipo hospital namuuguza bi mkubwa. Na chungulia lives ore naona jotaa anazidi kunipa tabasamu katikati ya huzuni.
Anyway Mungu naomba mponye mama.
YNWA
She Will Never Walk Alone.
Daa! Yaani nipo hospital namuuguza bi mkubwa. Na chungulia lives ore naona jotaa anazidi kunipa tabasamu katikati ya huzuni.
Anyway Mungu naomba mponye mama.
YNWA
Asante
Pole sana Mkuu. Tunamuombea Bi. MkubwaDaa! Yaani nipo hospital namuuguza bi mkubwa. Na chungulia lives ore naona jotaa anazidi kunipa tabasamu katikati ya huzuni.
Anyway Mungu naomba mponye mama.
YNWA
Mkuu ni 5 tayari jota kashaingia kambani tena na tena.Siamini kama ili jeshi la atalanta linavyokimbiza Italy kwa beki ya William na gomez tumewashindilia 4.hata siamini

RIP Firmino.Mpaka namuonea huruma FirminhoJota kapiga hat-trick! Doh ....RIP Firmino.
Jones on assist.
Kazi anayo aisee. Jota is a threat. Na kila akipewa chance anaonyesha anaitaka namba haswa.Mpaka namuonea huruma Firminho
Mzee tunaongelea impact kwa sasa wewe unaleta historia. Kuna mtu asiyemjua Firmino humu?Kuna watu Kama hamuelewi Boby kumbukeni Ni Bado Sana kumlinganisha Jota na Boby
Boby Ni zaidi ya yeyote pale Liver