Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1st goal. Jota
CgAGVV-hv_KAMOANAB4xnGwOdwc626.gif
 
Mzee tunaongelea impact kwa sasa wewe unaleta historia. Kuna mtu asiyemjua Firmino humu?

The issue ni kwamba jamaa kadrop. Kawa very blunt. Mpira ni ushindani boss. Mtu akija akiku outperform unakaa benchi.
. Acha utani mjumbe unadhani anayoyafanya Boby Jota atayaweza? Hatukatai kwamba jota anaonyesha thamani yake Mimi mwenyewe namkubali Sana ila wanaosema jota atamuweka bench Boby wajipange hatoweza Hilo
 
. Acha utani mjumbe unadhani anayoyafanya Boby Jota atayaweza? Hatukatai kwamba jota anaonyesha thamani yake Mimi mwenyewe namkubali Sana ila wanaosema jota atamuweka bench Boby wajipange hatoweza Hilo
Unavyosema hataweza unatumia hoja gani haswa? Na mbona hivi sasa tayari keshawekwa benchi?

Jota mpaka sasa tunapoongea, kafunga magoli saba (07).

Kwenye ligi tu kati ya appearance tano ambazo kati yake kaingia sub mara tatu, tayari ana goli 3.

Kwenye UEFA mechi tatu goli 4!

Serious? Awekwe benchi na Bobby ambaye mpaka sasa ameanza na kucheza mechi saba za EPL akiwa na goli 1. UEFA mechi tatu hamna goli hata moja?
 
Unavyosema hataweza unatumia hoja gani haswa? Na mbona hivi sasa tayari keshawekwa benchi?

Jota mpaka sasa tunapoongea, kafunga magoli saba (07).

Kwenye ligi tu kati ya appearance tano ambazo kati yake kaingia sub mara tatu, tayari ana goli 3.

Kwenye UEFA mechi tatu goli 4!

Serious? Awekwe benchi na Bobby ambaye mpaka sasa ameanza na kucheza mechi saba za EPL akiwa na goli 1. UEFA mechi tatu hamna goli hata moja?
. Naomba nisikuvunjie heshima kilichotumika leo li game plan siyo kwamba Boby kawekwa bench na jota kumbuka Atlanta Ni timu ya aina gani mkuu inahitaji uwe na Nini kupambana nao maybe Boby asifunge msimu mzima Ila cku Boby akifunga wataopata shida Ni kina Gini mkuu

Chakuongezea nadhani sote tu mashabiki wa Liverpool tutaona tuyaache hayo
 
mliokuwa mnataka jota awe anaanza bobby akae bench naona klopp amesoma comments zenu.ila bobby ataanza kuhisi kitu kwenye mechi ya leo.

Bobby's glory days are over at Liverpool, akitaka kurudisha game yake ni kuhama akatafute changamoto nyingine.

Jota ameshachukua namba, na nina uhakika it is for good.

Just imagine, mbele kuna Jota/Salah/Mane: katikati kuna Thiago/Henderson mpya/Wijnaldum au Keita: nyuma kuna Fabinho/Robbo/Gomez/ Anorld.

Hapo tunayeongea naye lugha moja ni Bayern tu, hawa wengine wakatafute size yao, sisi siyo size yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom