DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Sawa mkuuHawa WAHUNI sio mashabaki HALISI wa Liverpool
Ni mashabiki maslahi tu pale team inapofanya vyema
TUWAPUUZE
Sawa mkuuHawa WAHUNI sio mashabaki HALISI wa Liverpool
Ni mashabiki maslahi tu pale team inapofanya vyema
TUWAPUUZE
😂😂😂😂Sawa mkuu
HahahahahahYani ungejuwa leo nilivyo na Hasira za kufa Mtu hata usingelikatiza hapa.


mkuu kulikoni?
Watoto wa Lumumba wanahusika kwa 95%Yani ungejuwa leo nilivyo na Hasira za kufa Mtu hata usingelikatiza hapa.
Hahahahahahmkuu kulikoni?
Dah, bad news indeedDah! Kaka yangu na Baba yangu Mdogo walikuwa Mawakala wamedundwa Vibaya sana na Mapolisi sasahivi Wamelazwa Hospitali taabani.
Salah kazidi na huyu ndy kamfundsha mane uchoyo..... Front three yetu Ina uchoyo salah na mane hawawazi for a team na hii disaster tunayo Kuna muda unaona ki mane kbsa kinafnya uchoyo na kinajua kitakabwa
Salah ndo nisiseme
Bora tuwe tunafungwa Ila na sisi tunashinda .... Ujinga Sasa wanaoleta mbele like damn
Pole mwana. YNWA... Mungu atawaponya.Dah! Kaka yangu na Baba yangu Mdogo walikuwa Mawakala wamedundwa Vibaya sana na Mapolisi sasahivi Wamelazwa Hospitali taabani.
Dah! Kaka yangu na Baba yangu Mdogo walikuwa Mawakala wamedundwa Vibaya sana na Mapolisi sasahivi Wamelazwa Hospitali taabani.
Daaaaaah poleni sana mkuu, Mungu awape wepesi tunawaombeaDah! Kaka yangu na Baba yangu Mdogo walikuwa Mawakala wamedundwa Vibaya sana na Mapolisi sasahivi Wamelazwa Hospitali taabani.
Mkuu wakuache kabisa wewe ndo mwana liverpool khalisi achana na mamluki kama wakina.....(malizia hapo😎😎)Liverpool HALISI hamna mechi rahisi
CL tunahitaji points 3 na bao za kutosha
Liverpool HALISI tuzidi kuwa nyuma ya team