Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,852
kwa mbinde
Nilishawahi kuandika humu jamaa hatufai kwa sasa jamaa walinishukia kama mweweOrigi
Awfully aisee .......
How comes anaendelea kuchezea Liverpool damn
Hana kitu aisee ....hamna kitu paleNilishawahi kuandika humu jamaa hatufai kwa sasa jamaa walinishukia kama mwewe
Watakuja kumtetea hapa muda sio mrefu tena na mapovu kama yote jiande kuchota maji ya Baharini nasikia eti povu halifui dafuHana kitu aisee ....hamna kitu pale
Kwamba zile goal zake mbili za Barca ndo zmetuweka under spell
Anapoteza pasi ku dribble hawezi
Awfully Ani
My man of the match ni shaqir
Kilikua kikosi sawa...Halafu mbele kuna Jota, Shaqir, Minamino na Origi.
Walalamishi FC hamchoki?We have lost control of this game at the moment
Acha kupotosha, sisi halisi tupo na idadi yetu inajulikanaLiverpool Halisi is an inexistent football Club founded in JamiiForum in 2019 by a someone thout to be a mental disorder known as Malafyale.
The numbers of it's members are unknown except only founder is known whom claim him self as Liverpool Halisi.
Still we're waiting to see their Logo, Jerzy, Stadium, Coach and thir Headquarter.
And we wanna know in which League they are competing.




Sawasawa mkuuLiverpool HALISI hamna mechi rahisi
CL tunahitaji points 3 na bao za kutosha
Liverpool HALISI tuzidi kuwa nyuma ya team
He's lost confidence and hungerHana kitu aisee ....hamna kitu pale
Kwamba zile goal zake mbili za Barca ndo zmetuweka under spell
Anapoteza pasi ku dribble hawezi
Awfully Ani
My man of the match ni shaqir
??????????????Walalamishi FC hamchoki?
Hili ni kaburi,"Klopp kuchukua EPL wakati Pep yupo labda kombe aliibe"
By stupid Ngwaba and his stupid fellow in 2018

lifukue kwa screenshoot au mquote, hahahahahaaHuyo kipele G ni boya flani anayetaka umaarufu kizembezęmbeKwani ninyi hiyo carabao mumechukua lini ???
huyo dogo anaweza kutushangaza aisee, sitashangaa akimpora namba gomez siku za usoni!Huyu dogo ni machine haswa, ana utulivu kuzidi hata Gomez. Anastahili kuaminiwa tu, endapo atapata chance hadi december anaweza kuwa miongoni mwa key players wetu katika kikosi cha kwanza kama ilivyokuwa kwa TAA.
Mkuu kuna hawa madogo wengine Billy kwa sasa majeruhi na Nathaniel wakipata nafasi watatufikisha mbali..huyo dogo anaweza kutushangaza aisee, sitashangaa akimpora namba gomez siku za usoni!